Tafuta pesa wewe
anapoteza muda wa kutafuta pesa ...kwani ajui ccm ni mafii shauri yake.Tafuta pesa wewe
Mbona kaweka ndevu ksma muindi kweli waafrica tuna safari ndefu sana....CDF Wilson Mbasi Mbadi
View attachment 2194046
General Muhoozi Kainerugaba Kijana wa Museveni yeye ameachia ngazi juzi akiwa bado kijana wa miaka 48, alizaliwa Dar, Tanzania
View attachment 2194048
Ametangaza uhamuzi huo... ikisemekana anakuja kuchukua viatu vya baba yake rais museveni
View attachment 2194066