Ana maumivu makali mnooo, ila sumu yake haijafika level ya kuleta madhara makubwa mno kwa mwanadamu.Mkuu huyo ni tandu, anasumu kali sana ila wakiwa wadogo kiumbo wanatabia ya kuingia sikioni ukiwa umelala na kung'ata . (Hasa kwa watoto/w.wazima)
Unaweza changanyikiwa!
Btw kama wapo wengi chukua tahadhali maana sumu yake ni konk mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app