Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Kila baada ya wiki kadhaa, nimekuwa nakumbana na mdudu huyu ndani ya nyumba. Uzuri mara zote nimekuwa namuwahi kumuua kabla hajanigusa.
Kuna mtu alikuwepo nymbani siku moja wakati anatokea akaniambia ana sumu kali.
Naomba nijue jina lake na mengine muhimu ninayotakiwa kujua.
Vitu vichache nilivyoona kuhusu huyu mdudu:
Kuna mtu alikuwepo nymbani siku moja wakati anatokea akaniambia ana sumu kali.
Naomba nijue jina lake na mengine muhimu ninayotakiwa kujua.
Vitu vichache nilivyoona kuhusu huyu mdudu:
- Ana kichwa kigumu sana. Unaweza kumpiga na kiatu hata mara nne bado akawa hai.
- Anatembea kwa kasi sana. Huyu wa kwenye picha ni kwamba nilikuwa tu kwenye alert ila alikuwa anakuja kwangu kwa kasi.
- Akiwa anatembea kwenye corridor, anatembea kwenye corner kabisa iwe ngumu kumpiga.
- Hauwezi kumkuta ametulia tu. Usipomuwahi anaweza kupotelea kwenye makochi huko.