Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Gavana wa Benki Kuu, huyu ndiye Kiongozi pekee unaweza hata kusema ana nguvu sawa na Rais wa JMTZ, ingawaje anateuliwa na Rais wa JMTZ lkn ana nguvu zisizo onekana, huko kwingine kote Rais wa JMTZ anaweza kuteua na kupindua atakavyo ila kwa Gavana wa Benki ni breki, ...