edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,878
- 9,675
Habari za Musa ni za uongo pasi na shakaKama firauni huyu ndie yule wa kwenye Qurani wa nabii mussa basi hapa uhakika tumepigwa hasaa.
Habari za Musa ni za uongo pasi na shakaKama firauni huyu ndie yule wa kwenye Qurani wa nabii mussa basi hapa uhakika tumepigwa hasaa.
Kwani allah kasemaje mkuu juu ya firauni.
Naomba uninukulie aya..
Mkuu nimeomba uweke aya hapa,sio unielekeze ipo wapi.Soma Surat Yunus anza aya ya 90-92.
Hapo kwenye aya ya 91 utaona ahadi ya Allah juu ya Firauni pale adhabu ilipokuwa ikimshika akasema; amantu innahu laa illaha illa ladhii amanat bihi banu israil wa anaa minalmuslimin, yaani; "nimemuanini hakika hakuna Mungu ila yule ambaye wana wa Israeli wana muamini na mimi ni miongoni waliojisalimisha".
Sasa soma aya ya 92 usikie Allah akiahidi nini atafanya juu ya mwili wa huyo Firauni.
Hiyo wasema weye..Habari za Musa ni za uongo pasi na shaka
Mkuu nimeomba uweke aya hapa,sio unielekeze ipo wapi.
Kama hili ombi langu halina maana yeyote kwako mkuu naomba tukomee hapa.
Wanazuoni wetu wakubwa wanakataa ya kuwa huyu si yule aliye zungumziwa katika Qur'aan na kwamba ayahifadhiwa,sababu walio kusudiwa ili wuone ni wale wale Waisraeli wa zama hizo na wali muona na ikawa ushahidi kwao.Kama firauni huyu ndie yule wa kwenye Qurani wa nabii mussa basi hapa uhakika tumepigwa hasaa.
Wee mjinga nini, usizungumze vitu usivyovijuaEti Mungu akaweka ligi na firauni,ila biblia bwana
Nasikia kazi yake kubwa ilikuwa ni kuwafira wahuni ndio maana akaitwa firahuni
Mapharao wote walifanyiwa mumyfication ila kuna wanaodanganya watu kuwa pHarao alilaaniwa na mungu fvck mpaka lini watu wataendelea kushikiwa akili
Mungu aliahidi kuuweka mwili wake kama ukumbusho mpaka siku ya mwisho,lakini hakuahidi kuiweka torati(kitabu halisi alichoshushiwa Mussa na watu wake)Imeshindikana kupata torati ya mussa aje kupatikana huyo firauni
Jambo hiwezekani kabisa akawa firauni huyo.
acha futuhi dogoMungu aliahidi kuuweka mwili wake kama ukumbusho mpaka siku ya mwisho,lakini hakuahidi kuiweka torati(kitabu halisi alichoshushiwa Mussa na watu wake)
Nipe aya inayosema mpaka siku ya mwisho Mungu aliahidi kumuweka firauni.Mungu aliahidi kuuweka mwili wake kama ukumbusho mpaka siku ya mwisho,lakini hakuahidi kuiweka torati(kitabu halisi alichoshushiwa Mussa na watu wake)
Sasa hapo firaunj anahusika vipi?
Kwa hiyo ile aliyoweka mokaze bado haitoshelezi?Nipe aya inayosema mpaka siku ya mwisho Mungu aliahidi kumuweka firauni.
Mkuu hii aya imesema
Haitoshelezi kwa mujibu wa atavyotaka yeye.Kwa hiyo ile aliyoweka mokaze bado haitoshelezi?
Sasa hapo firaunj anahusika vipi?
Mkuu hakuna aya inasema kwamba firauni atabaki milele mpaka siku ya mwisho iyo aya haipo.Hiyo ni moja ya aya zinazomzungumzia Firauni jinsi alivyogharikishwa na alivyoomba mkiri Allah na Allah alivyo ahidi kile angemtendea, angalia moja ya aya hii ya juu yake inavyosema:-
View attachment 1854125
umeshapewa hapo juuNipe aya inayosema mpaka siku ya mwisho Mungu aliahidi kumuweka firauni.