Kumbe anawalaga Kwahiyo hata Yule Tanzania sweetheart kaliwa
Hahaaaaaaa naona Unajua mengi zaidi ya hayaYaani Wewe mpaka leo hujui ni jinsi gani hawa Wanyange / Walimbwende wanapatikana hasa kwa hapa nchini Tanzania? Acha utani bhana! Utendaji wako mkubwa wa ' Kibaiolojia ' kwa Wenye Kamati zao hasa uwapo nao ' Kitandani ' ndiyo ' Turufu ' yako ya ' Kutukuka ' ya Wewe kuibuka mshindi / kidedea. Naomba niishie hapa tafadhali.
ataibuka kidedea wala sina shaka hapo..Julitha Kabeta ni mrembo atakaye wakilisha Tanzania mwaka 2017 katika mashindano ya Miss World. Japo imeacha sitofahamu nyingi kwa wadau wa urembo kwa jinsi alivyopatikana. Tunamtakia kila la kheri katika kuipeperusha Bendera ya Tanzania.
View attachment 612341 View attachment 612342 View attachment 612343 View attachment 612344
Julitha Kabeta ni mrembo atakaye wakilisha Tanzania mwaka 2017 katika mashindano ya Miss World. Japo imeacha sitofahamu nyingi kwa wadau wa urembo kwa jinsi alivyopatikana. Tunamtakia kila la kheri katika kuipeperusha Bendera ya Tanzania.
View attachment 612341 View attachment 612342 View attachment 612343 View attachment 612344