Huyu ndiyo muwakilishi Kutoka Tanzania atakayeshiriki Miss World 2017.

Mideko

JF-Expert Member
Mar 30, 2015
35,686
192,884
Julitha Kabeta ni mrembo atakaye wakilisha Tanzania mwaka 2017 katika mashindano ya Miss World. Japo imeacha sitofahamu nyingi kwa wadau wa urembo kwa jinsi alivyopatikana. Tunamtakia kila la kheri katika kuipeperusha Bendera ya Tanzania.

BaM90H7naXE.jpg
BaGVOYZnbw7.jpg
BaZYoEHnTBw.jpg
IMG_20171019_083929_508.jpg
 
Yaani Wewe mpaka leo hujui ni jinsi gani hawa Wanyange / Walimbwende wanapatikana hasa kwa hapa nchini Tanzania? Acha utani bhana! Utendaji wako mkubwa wa ' Kibaiolojia ' kwa Wenye Kamati zao hasa uwapo nao ' Kitandani ' ndiyo ' Turufu ' yako ya ' Kutukuka ' ya Wewe kuibuka mshindi / kidedea. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Yaani Wewe mpaka leo hujui ni jinsi gani hawa Wanyange / Walimbwende wanapatikana hasa kwa hapa nchini Tanzania? Acha utani bhana! Utendaji wako mkubwa wa ' Kibaiolojia ' kwa Wenye Kamati zao hasa uwapo nao ' Kitandani ' ndiyo ' Turufu ' yako ya ' Kutukuka ' ya Wewe kuibuka mshindi / kidedea. Naomba niishie hapa tafadhali.
Hahaaaaaaa naona Unajua mengi zaidi ya haya
 
Back
Top Bottom