Huyu ndiye yuleyule Magufuli, au tumtarajie mwingine?

Mtu Mmoja

JF-Expert Member
Mar 18, 2010
593
64
Naona mmemsifia sana kuwa ujenzi na Mwakyembe, eti mnawaita "wapiganaji" mwaka huu tuna kazi kwelikweli!! Watu mnapenda sana kujidanganya nyiyi. Mmesahau huyu Magufuli ndiye aliyeuza nyumba za serikali? Mwakyembe si ndiye yule aliyesoma ripoti ya kamati teule bila kutangaza maslahi yake katika mradi wa kufua umeme wa upepo kama kanuni zilivyo taka? mnafikiri alifanya vile kwa bahati mbaya? Wote hawa wachumia tumbo tu, hakuna kipya hapo, pasentiz ni kama kawa.
 
Idea ya kuuza nyumba ilikuwa na nia ya kuhakikisha zile nyumba nzuri ambazo wasingeweza kuzijenga kwa nguvu/fedha zao binafsi wanazipata kwa bei nafuu! hii ndo afrika!
 
naona mmemsifia sana kuwa ujenzi na mwakyembe, eti mnawaita "wapiganaji" mwaka huu tuna kazi kwelikweli!! watu mnapenda sana kujidanganya nyiyi. mmesahau huyu maghufuli ndiye aliyeuza nyumba za serikali? mwakyembe si ndiye yule aliyesoma ripoti ya kamati teule bila kutangaza maslahi yake katika mradi wa kufua umeme wa upepo kama kanuni zilivyo taka? mnafikiri alifanya vile kwa bahati mbaya? wote hawa wachumia tumbo tu, hakuna kipya hapo, pasentiz ni kama kawa

Magufuli hakuuza nyumba za serikali,kuuza nyumba za serikali ulikuwa uamuzi wa baraza la mawaziri chini ya Mwenyekiti ambaye ni Rais.
Wizara aliyokuwa akiiongoza Magufuli ndiyo iliyopewa jukumu na baraza la mawaziri kuuza hizo nyumba.Katika serikali mawaziri hufanya kazi kama timu,uwajibikaji wa pamoja.Baraza la Mawaziri likishaamua wewe uliyepewa agizo ni utekelezaji tu.


Mwakyembe alikuwa Mwenyekiti wa kamati teule ya bunge na alichaguliwa na Bunge,kufanya kazi kama alikosea basi Bunge lingemwajibisha.Yaani wabunge wote 289 hawakuona kosa la Mwakyembe ukaona wewe ,kwa hiyo walikuwa wajinga kumuacha aendelee kuwa Mwenyekiti au wewe mtu mmoja ndiye.??

Kwa Magufuli na Mwakyembe huna hoja .Crap!!
 

Magufuli hakuuza nyumba za serikali,kuuza nyumba za serikali ulikuwa uamuzi wa baraza la mawaziri chini ya Mwenyekiti ambaye ni Rais.
Wizara aliyokuwa akiiongoza Magufuli ndiyo iliyopewa jukumu na baraza la mawaziri kuuza hizo nyumba.Katika serikali mawaziri hufanya kazi kama timu,uwajibikaji wa pamoja.Baraza la Mawaziri likishaamua wewe uliyepewa agizo ni utekelezaji tu.


Mwakyembe alikuwa Mwenyekiti wa kamati teule ya bunge na alichaguliwa na Bunge,kufanya kazi kama alikosea basi Bunge lingemwajibisha.Yaani wabunge wote 289 hawakuona kosa la Mwakyembe ukaona wewe ,kwa hiyo walikuwa wajinga kumuacha aendelee kuwa Mwenyekiti au wewe mmoja ndiye.??

Kwa Magufuli na Mwakyembe huna hoja .Crap!!

kama maghufuli ni good and responsible leader kwa nini hakujiuzulu kuonyesha uwajibikaji? kutojiuzulu hakumaanishi kukubaliana? kulinda cheo chake kwa maslahi yake huku maslahi ya umma yakiangamizwa ni uzalendo?

haya mwakyembe naye being mwansheria academikaly na practically, akijua kuwa kuna kanuni inamlazimisha ku-declare interest hakufanya hivyo ili kulinda interst zake kwenye ule mradi, alitutendea haki? inatosha kuhalalaisha ukiukwaji huu wa kanuni kwa kuwa tuna passion binafsi na mwakyembe?

I know that "love is blind", but just being carious; when didi you fall in love with maghufuli? and mwakeyembe? just to mention a few
 
kama maghufuli ni good and responsible leader kwa nini hakujiuzulu kuonyesha uwajibikaji? kutojiuzulu hakumaanishi kukubaliana? kulinda cheo chake kwa maslahi yake huku maslahi ya umma yakiangamizwa ni uzalendo?

haya mwakyembe naye being mwansheria academikaly na practically, akijua kuwa kuna kanuni inamlazimisha ku-declare interest hakufanya hivyo ili kulinda interst zake kwenye ule mradi, alitutendea haki? inatosha kuhalalaisha ukiukwaji huu wa kanuni kwa kuwa tuna passion binafsi na mwakyembe?
I know that "love is blind", but just being carious; when didi you fall in love with maghufuli? and mwakeyembe? just to mention a few

Suala la kujiuzulu ni gumu ,huwezi kujiuzulu bila kuwa na kosa lolote.Ukiamua kujiuzulu bila kosa ndani ya CHAMA utabanwa na ukieleza msimamo wako kupingana na wengine watakushughulikia na utafulia.Sasa wewe Mtu mmoja unajifanya malaika mtakatifu eti ujiuzulu mweee! huwezi ishi katika dunia hii bila mtu kukukosea au kukuudhi ukitaka kuwa mtakatifu tafuta dunia yako au toka kwenye chama anzisha chako.
Magufui alisimamia wizara ya Ujenzi na Tanzania ikajenga kilomita nyingi za barabara,mf.sasa hata kwenda Mtwara from DSM ni rahisi na ni karibu.Angalia kuna waziri alipewa wizara ya Miundombinu na barabara ya Sam Nujoma km 3.9 ikajengwa kwa miaka mitatu!! huoni tofauti(au ulitaka ateuliwe huyo mwenye kesi mahakamani?)

Waziri hawezi kukiuka maagizo ya Baraza la mawaziri au Rais na akifanya hivyo atafukuzwa kazi.Sijui unaongea nini au umelewa??
Mwakyembe alitutendea haki kabisa na kabla ya Kamati ya Mwakyembe TANESCO ilikuwa ikilipa Tsh milioni 152(Tsh 152,000,000 /-) kila siku kuwalipa Dowans na baada ya kina Mwakyembe sasa TANESCO hailipi tena fedha hizo.
 
Suala la kujiuzulu ni gumu ,huwezi kujiuzulu bila kuwa na kosa lolote.Ukiamua kujiuzulu bila kosa ndani ya CHAMA utabanwa na ukieleza msimamo wako kupingana na wengine watakushughulikia na utafulia.Sasa wewe Mtu mmoja unajifanya malaika mtakatifu eti ujiuzulu mweee! huwezi ishi katika dunia hii bila mtu kukukosea au kukuudhi ukitaka kuwa mtakatifu tafuta dunia yako au toka kwenye chama anzisha chako.
Magufui alisimamia wizara ya Ujenzi na Tanzania ikajenga kilomita nyingi za barabara,mf.sasa hata kwenda Mtwara from DSM ni rahisi na ni karibu.Angalia kuna waziri alipewa wizara ya Miundombinu na barabara ya Sam Nujoma km 3.9 ikajengwa kwa miaka mitatu!! huoni tofauti(au ulitaka ateuliwe huyo mwenye kesi mahakamani?)

Waziri hawezi kukiuka maagizo ya Baraza la mawaziri au Rais na kifanya hivyo atafukuzwa kazi.Sijui unaongea nini au umelewa.Mwakyembe alitutendea haki kabisa na kabla ya Kamati ya Mwakyembe TANESCO ilikuwa ikilipa Tsh milioni 152(Tsh 152,000,000 /-) kila siku kuwalipa Dowans na baada ya kina Mwakyembe sasa TANESCO hailipi tena fedha hizo.

but, when didi you fall in love with these two guyz? nadhani hapa ndipo penye tatizo. unawatetea kwa hoja za kitoto kabisa tena usizo na ushahidi nazo. tena masikini hujui kuwa nao waliona utuetezi huo na kuzitumia hizo loopholes, na duru ziliripoti mapema kabisa ila mkaweka pamba masikioni sasa unatangaza hapa JF kuwa wewe na hawa wachumia tumbo hadi kifo kiwatenganishe! marvelous! kakue kwanza ndo uje kujadili issues hapa.
 
but, when didi you fall in love with these two guyz? nadhani hapa ndipo penye tatizo. unawatetea kwa hoja za kitoto kabisa tena usizo na ushahidi nazo. tena masikini hujui kuwa nao waliona utuetezi huo na kuzitumia hizo loopholes, na duru ziliripoti mapema kabisa ila mkaweka pamba masikioni sasa unatangaza hapa JF kuwa wewe na hawa wachumia tumbo hadi kifo kiwatenganishe! marvelous! kakue kwanza ndo uje kujadili issues hapa.

Maelezo yangu yanajitosheleza kuonesha kazi walizofanya hawa watu,huwezi kujua labda wewe au watu wako ni majeruhi wa Richmond au wewe au nduguyo ni makandarasi feki ndio maana unawachukia makamanda
 
naona mmemsifia sana kuwa ujenzi na mwakyembe, eti mnawaita "wapiganaji" mwaka huu tuna kazi kwelikweli!! watu mnapenda sana kujidanganya nyiyi. mmesahau huyu maghufuli ndiye aliyeuza nyumba za serikali? mwakyembe si ndiye yule aliyesoma ripoti ya kamati teule bila kutangaza maslahi yake katika mradi wa kufua umeme wa upepo kama kanuni zilivyo taka? mnafikiri alifanya vile kwa bahati mbaya? wote hawa wachumia tumbo tu, hakuna kipya hapo, pasentiz ni kama kawa

sasa hapo kuna mahusiano gani mradi na utangazaji wa ripo, mkuu harafu kwa mtazamo wa kila mtanzania
ccm haina msafi ila wanazidiana tu, uovu wa Mwakyembe huwezi kuufananisha na uovu wa Kikwete, uovu
wa Maghufuli si wa Rostam Azizi
 
..kama Magufuli alikuwa hakubaliana na uamuzi wa KUIBA nyumba za serikali basi angejiuzulu. mbona Mtei hakukubaliana na bosi wake na akachukua uamuzi wa kujiuzulu?

..si kweli kwamba angejiuzulu basi angefulia. huku mitaani Magufuli alikuwa akijulikana kama muadilifu, kwa hiyo kama angekataa kushiriki WIZI ule basi jamii ingemkubali zaidi kama mpambanaji wa kweli.

..kama Magufuli alikuwa anaogopa kujiuzulu basi walau yeye binafsi angeepuka KUIBA nyumba zile. kitendo cha Magufuli kujitwalia nyumba ya serikali kinathibitisha kwamba alikuwa anakubaliana na uamuzi ule 100%. zaidi kuna tuhuma kwamba Magufuli alikwenda mbali zaidi na kuwashirikisha hata ndugu na vimada ktk wizi ule.


..Magufuli pia anahusika kuiingiza serikali hasara ya shilingi bilioni 14 kutokana na kiburi chake cha kukaidi ushauri wa kitaalamu na kuamua kuvunja kituo cha mafuta kule Mwanza. mmiliki wa kituo cha mafuta alikwenda mahakamani na kushinda kesi.

..zaidi, kuna taarifa za Magufuli kupendelea jimbo lake ktk mradi wa ujenzi wa barabara.

NB:

..kinachomshinda Magufuli kutubu makosa yake na kurudisha nyumba aliyoiba ni nini?
 
Hizi ni kelele za mlango tu...kumbukeni kuwa kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.magufuli na mwakyembe ni wachapakazi hodari
 
sasa hapo kuna mahusiano gani mradi na utangazaji wa ripo, mkuu harafu kwa mtazamo wa kila mtanzania
ccm haina msafi ila wanazidiana tu, uovu wa Mwakyembe huwezi kuufananisha na uovu wa Kikwete, uovu
wa Maghufuli si wa Rostam Azizi

angalau wewe nimekupata kidogo hasa hapo mwishonimwishoni.

ukweli ni kuwa 1+1 ni 2, so you need to establish connection among elements to draw a conclusion. kanuni ya kutangaza maslahi iliwekwa ili kuwabana watu wanaotumia vibaya nafasi zao dhidi ya maslahi ya umma. ililenga kuwalazimisha wajiweke wazi zzaidi kila wanapojishughulisha na miradi inayowagusa kimaslahi ili waweze kutazamwa na kuchukuliwa kwa umakini unaostahili na wadau. sasa kama mwakyembe alijua kabisa kuwa ni competitor wa richmond PLC katika sekta ya umeme alijua pia kuwa haquolify kuunda probe team bila kuweka bayana maslahi yake dhidi ya anaowachunguza. na ile si bahati mbaya. alijua na aliculculate his figures vizuri kuepuka kuharibu mamabo kwa upande wake na alikaa kimya hadi alipoumbuliwa na watu wa usalama wa taifa (i know alisema rostam beforehand) lakini kama isingekuja kujulikana unadhani ingekuwepo siku angesutwa moyoni mwake na ku-regret?. utasema huyu si fisadi? how?
 
..kama Magufuli alikuwa hakubaliana na uamuzi wa KUIBA nyumba za serikali basi angejiuzulu. mbona Mtei hakukubaliana na bosi wake na akachukua uamuzi wa kujiuzulu?

..si kweli kwamba angejiuzulu basi angefulia. huku mitaani Magufuli alikuwa akijulikana kama muadilifu, kwa hiyo kama angekataa kushiriki WIZI ule basi jamii ingemkubali zaidi kama mpambanaji wa kweli.

..kama Magufuli alikuwa anaogopa kujiuzulu basi walau yeye binafsi angeepuka KUIBA nyumba zile. kitendo cha Magufuli kujitwalia nyumba ya serikali kinathibitisha kwamba alikuwa anakubaliana na uamuzi ule 100%. zaidi kuna tuhuma kwamba Magufuli alikwenda mbali zaidi na kuwashirikisha hata ndugu na vimada ktk wizi ule.


..Magufuli pia anahusika kuiingiza serikali hasara ya shilingi bilioni 14 kutokana na kiburi chake cha kukaidi ushauri wa kitaalamu na kuamua kuvunja kituo cha mafuta kule Mwanza. mmiliki wa kituo cha mafuta alikwenda mahakamani na kushinda kesi.

..zaidi, kuna taarifa za Magufuli kupendelea jimbo lake ktk mradi wa ujenzi wa barabara.

NB:

..kinachomshinda Magufuli kutubu makosa yake na kurudisha nyumba aliyoiba ni nini?

lakini saa ingine tunatakiwa kuwa na tafakali kwa kila tuandikacho
hivi Maghufuli angetakiwa kufanya hayo kwa serikali ipi? na kwa faida ya nani wakati nchi yote ina wezi watupu?
kumbuka Mzee Mtei alifanya chini ya uongozi ambao kwa namna moja ama nyingine ulikuwa na japo kauadirifu kidogo
lakini siyo uongozi huu uliopo sasa ambao toka juu haadi chini ni wezi watupu
 
..kama Magufuli alikuwa hakubaliana na uamuzi wa KUIBA nyumba za serikali basi angejiuzulu. mbona Mtei hakukubaliana na bosi wake na akachukua uamuzi wa kujiuzulu?

..si kweli kwamba angejiuzulu basi angefulia. huku mitaani Magufuli alikuwa akijulikana kama muadilifu, kwa hiyo kama angekataa kushiriki WIZI ule basi jamii ingemkubali zaidi kama mpambanaji wa kweli.

..kama Magufuli alikuwa anaogopa kujiuzulu basi walau yeye binafsi angeepuka KUIBA nyumba zile. kitendo cha Magufuli kujitwalia nyumba ya serikali kinathibitisha kwamba alikuwa anakubaliana na uamuzi ule 100%. zaidi kuna tuhuma kwamba Magufuli alikwenda mbali zaidi na kuwashirikisha hata ndugu na vimada ktk wizi ule.


..Magufuli pia anahusika kuiingiza serikali hasara ya shilingi bilioni 14 kutokana na kiburi chake cha kukaidi ushauri wa kitaalamu na kuamua kuvunja kituo cha mafuta kule Mwanza. mmiliki wa kituo cha mafuta alikwenda mahakamani na kushinda kesi.

..zaidi, kuna taarifa za Magufuli kupendelea jimbo lake ktk mradi wa ujenzi wa barabara.

NB:

..kinachomshinda Magufuli kutubu makosa yake na kurudisha nyumba aliyoiba ni nini?

yes, at least nimeona critical thinking hapa. waambie wanajamvi, wizara ya ujenzi bado iko mikononi mwa mafisadi na kwa hiyo wasitegemee kumalizika kwa pasentiz pale. sijaona mzalendo wa kweli pale, narudia tena, sijaona.

unagawa nyumba za serikali mpaka kwa dada zako halafu kuna watu wanakuita mpiganaji? masikini tanzania, umepewa kila kitu umenyimwa aubongo wa kufikiri na kuchukua hatua! nikipewa ufagio, takataka ya kwanza kuondoa ni pamoja na maghufuli!
 
mtu mmoja mimi naona una chuki binafsi na hawa kamanda wawili je el kujiuzulu alionyesha uwajibikaji? au alimlinda jk asi itishe uchaguzi kabla ya muda? unapokuwa jukwaani njoo na concret idea sio kutafuta kuchafua wengine sie tunajua mwak na magufuli vifaa vya kazi pole mti mmoja, samahani vile mtu mmoja
 
lakini saa ingine tunatakiwa kuwa na tafakali kwa kila tuandikacho
hivi Maghufuli angetakiwa kufanya hayo kwa serikali ipi? na kwa faida ya nani wakati nchi yote ina wezi watupu?
kumbuka Mzee Mtei alifanya chini ya uongozi ambao kwa namna moja ama nyingine ulikuwa na japo kauadirifu kidogo
lakini siyo uongozi huu uliopo sasa ambao toka juu haadi chini ni wezi watupu

sio utetetzi wa kukubalika huu. ina maana kama wote ni mashoga basi na yeye anapaswa kuwa shoga? kwa sabab hiyo pekee? yaani kwa kufuata mkondo wa wengi pekee?
 
Naomba kueleweshwa kulikuwa na kosa gani kwa zile nyumba kuuzwa na lengo ilikuwa ni nini....Je serikali ilikuwa inapata kiasi gani kwenye hayo majengo, kama serikali inge amua kuya karabati inge tumia kiasi gani kuya karabati majengo hayo, nani alikuwa akiishi humo na ninani alipaswa kuuziwa zile nyumba...je nyumba ambayo Magufuli anadaiwa kumuuzia binamu yake alifata taratibu zote
 
Naomba kueleweshwa kulikuwa na kosa gani kwa zile nyumba kuuzwa na lengo ilikuwa ni nini....Je serikali ilikuwa inapata kiasi gani kwenye hayo majengo, kama serikali inge amua kuya karabati inge tumia kiasi gani kuya karabati majengo hayo, nani alikuwa akiishi humo na ninani alipaswa kuuziwa zile nyumba...je nyumba ambayo Magufuli anadaiwa kumuuzia binamu yake alifata taratibu zote

Crashwise maswali yako ni mazuri naomba mtumie mbunge wako akamuulize waziri bungeni utapata majibu safi toka Wizarani na sio hapa
 
Naomba kueleweshwa kulikuwa na kosa gani kwa zile nyumba kuuzwa na lengo ilikuwa ni nini....Je serikali ilikuwa inapata kiasi gani kwenye hayo majengo, kama serikali inge amua kuya karabati inge tumia kiasi gani kuya karabati majengo hayo, nani alikuwa akiishi humo na ninani alipaswa kuuziwa zile nyumba...je nyumba ambayo Magufuli anadaiwa kumuuzia binamu yake alifata taratibu zote

hayo hata ukimuuliza mghufuli atajiumauma kwani anajua dili zima lilikuwa limesukwa vipi naye alikuwa na pasenti pale, ataishia kujiumauma tu kama mnafiki mwingine yoyote

Crashwise maswali yako ni mazuri naomba mtumie mbunge wako akamuulize waziri bungeni utapata majibu safi toka Wizarani na sio hapa

hapo umejibu kwa busara mkuu
 
Crashwise said:
Naomba kueleweshwa kulikuwa na kosa gani kwa zile nyumba kuuzwa na lengo ilikuwa ni nini....Je serikali ilikuwa inapata kiasi gani kwenye hayo majengo, kama serikali inge amua kuya karabati inge tumia kiasi gani kuya karabati majengo hayo, nani alikuwa akiishi humo na ninani alipaswa kuuziwa zile nyumba...je nyumba ambayo Magufuli anadaiwa kumuuzia binamu yake alifata taratibu zote.

Crashwise,

..hoja ya serikali ilikuwa kwamba nyumba za serikali ni za zamani mno, na serikali inaingia gharama kubwa kwa ukarabati.

..sasa hapo ndipo wajanja kina Magufuli wakaja na idea kwamba nyumba zile ziuzwe na fedha zitakazopatikana zitumike kujenga nyumba mpya.

..Magufuli akawahakikishia wabunge waliokuwa na mashaka kwamba uuzaji wa nyumba zile utawezesha ujenzi wa nyumba mpya 100%.

..tatizo lililojitokeza ni kwamba Magufuli na wakubwa wenzake serikalini wakaamua kuuziana kwa bei poa, which was way below what those houses and plots would have brought in an open market.

..baada ya serikali kushindwa ku-raise enough funds za ujenzi wa nyumba mpya, Magufuli akarudi tena bungeni na kuomba fedha. yaani sasa wananchi tukalazimika kulipia hasara waliyotuingiza viongozi vibaka.

..MAGUFULI AWE MFANO KWA KUTUBU MAKOSA YAKE, KUTUOMBA RADHI WANANCHI, NA KURUDISHA SERIKALINI NYUMBA ALIYOJITWALIA.
 

Magufuli hakuuza nyumba za serikali,kuuza nyumba za serikali ulikuwa uamuzi wa baraza la mawaziri chini ya Mwenyekiti ambaye ni Rais.
Wizara aliyokuwa akiiongoza Magufuli ndiyo iliyopewa jukumu na baraza la mawaziri kuuza hizo nyumba.Katika serikali mawaziri hufanya kazi kama timu,uwajibikaji wa pamoja.Baraza la Mawaziri likishaamua wewe uliyepewa agizo ni utekelezaji tu.


Mwakyembe alikuwa Mwenyekiti wa kamati teule ya bunge na alichaguliwa na Bunge,kufanya kazi kama alikosea basi Bunge lingemwajibisha.Yaani wabunge wote 289 hawakuona kosa la Mwakyembe ukaona wewe ,kwa hiyo walikuwa wajinga kumuacha aendelee kuwa Mwenyekiti au wewe mtu mmoja ndiye.??

Kwa Magufuli na Mwakyembe huna hoja .Crap!!

Magufuli ni fisadi hata kama ukimtetea, kama asingetaka au kutokubaliana na hao waliotaka kuziuza nyumba za Serikali siasingejiuzulu tu? kuliko kukubali halafu anasema sio yeye wakati yeye ndio aliyekuwa kinara wa kuziuza. Magufuli ni Fisadi na serikali ya Kikwete pia ni ya ufisadi kataa au kubali lakini ujue hilo ndio JIBU
 
Back
Top Bottom