The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
JK katika moja ya hotuba zake kubwa mwanzoni mwa uraisi wake alisema: Kama viatu vya uraisi havitamtosha, atajaza makaratasi. Makaratasi yenyewe ndiyo hayo yanaonekana sasa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hii ulikusudia kuiweka kule kwenye mada ya ukweli kuhusu JK Nyerere.. au sio?Jizaledo said:Mkuyuga,
Tuko hapa kukemea mabaya tena kwa nguvu zote. Tunachokataa ni kufumba macho na kudai kuwa Nyerere alikuwa malaika wakati enzi zake mambo yalikuwa mabaya saaaana na laiti kama si Mzee Ruksa tungedidimia sana. Haya hayaonekani na badala yake Mzee Ruksa anakashifiwa na vijana ninyi ninyi ambao hamkuwa wakubwa wa kutosha kuona tofauti iliyotokea mwaka 1985. Ninyi acheni tu msitukumbushe mengi.
"APENDAE CHONGO HUITA KENGEZA"
mkuyuga said:humu tunajua wamo ambao wanataka serikali iendelee kufanya madudu ili wanufaike!
ndiyo maana sioni ajabu kwa mtu kuja hapa aksema eti kwa kuwa tulikuwa kimya wakati wa nyerere sasa tusiongee!!
Kwanza wengine tulikuwa wadogo saaaana!
cha maana hapa ni kuwa ingelitakiwa Mwniyo afanye VIZURI KULIKO NYERERE NA HAPO TUNGESONGA MBELE. NA PIA MKAPA ANGETAKIWA KUFANYA VIZURI ZAIDI KULIKO NYERERE NA MWINYI. NA KWA SASA TUNAMTAKA KIKWETE AFANYE VIZURI KULIKO WOTE TENA YEYE SASA ANAONGOZA WATANZANIA WENGI WAO WAKIWA NA MADGREE KIBAO! DIPLOMA USISEME!
SASA HUYO ANAYEKUJA NA UHNI WAKE ETI TUKAE KIMYA ANA MAANA GANI HUYO?!
HUMU WENGINE TUNAJUA MNTAKA UDINI UTAWALE ILI MUENDELEE KUPTA ULAJI AU MNATAKA UKABILA UTAWALE ILI MUENDELEE KUJINEEMESHA!
WAMO WAKWELI NA TUNAWAONA TU WAKITOA MAJAMBOSI HUMU!
SAS HIVI TUNATAKA KIONGOZI ANGALIE MBELE MBELE KWA MAENDELEO ZAIDI. PIA AREKEBISHE PALE AKINA NYERERE, MWINYI NA MKAPA WAMEHARIBU ILI TUSONGE MBELE!
WEWE UNAYETUTISHA ACHA UHNI WAKO!
Jizaledo said:Mkuyuga,
Tuko hapa kukemea mabaya tena kwa nguvu zote. Tunachokataa ni kufumba macho na kudai kuwa Nyerere alikuwa malaika wakati enzi zake mambo yalikuwa mabaya saaaana na laiti kama si Mzee Ruksa tungedidimia sana. Haya hayaonekani na badala yake Mzee Ruksa anakashifiwa na vijana ninyi ninyi ambao hamkuwa wakubwa wa kutosha kuona tofauti iliyotokea mwaka 1985. Ninyi acheni tu msitukumbushe mengi.
"APENDAE CHONGO HUITA KENGEZA"
kichuguu said:Jizalendo nakuhesimu lakini hapa umeniangusha kidogo labda kwa vile hukutoa mchanganuo mzima wa tamatisho lako.
Kama ulikuwa ukifuatilia mwenendo mzima wa nchi, utagundua kuwa Mwinyi hakuleta lolote la maana katika Tanzania. Mabadiliko ya mwenendo wa Uchumi yalikuwa ni utekelzaji wa maelekezo ya IMF na World Bank ambayo yalikuwa yamefanyiwa kazi na na kukubalika na serikali ya Nyerere katika kipindi cha mwisho mwisho na yalianza kutekelezeka katikati ya mwaka 1985 hata kabla ya Mwinyi kuingia madarakani mwishoni mwa mwaka 1985. Asingeingia madarakani na papo hapo kuanza mazungumzo na IMF an World bank na papo hapo kupata mkopo. .........................
mkuyuga said:Jizalendo, tunamshuru saaaaaaaana mzee mwinyi kwa kuletea unga ambao umesaidia sana vijana wetu kufaika na huo uchumi wake!!
kuna vijana wetu wamefungwa Pakstani, wengine greece, Italy etc,
Ametutengezea alikaida ndiyo maana vijana wetu kama kufungwa huko marekani.
wakati wake wapasitani walizunguka nchi nzima wakihubiri dini!!
Wakati wa mwinyi alikuza saaaaaaaaana uchumi hadi watu wakawa wanabeba hela kwenye magunia!!
Uchumi wake ulikuwa sana akawa na maduka ya vito arabuni, je unjua kwa nini bodyguard wake alikufa huko arabuni?
Hongera mwinyi kukuza uchumi wa tanzania, hadi wanya wetu sasa wanauzwa nje, pia tausi walipewa kwa maswahiba wake(ref, bungeni).
ngoja niishie hapa sitabishana tena na wewe maana wewe unaoneka unataka kuvuruga umoja wetu humu kwa kugawa watu katika makundi ya dini!
wanabodi kuweni makini na huyu mtu.!
kiruma said:ManjiMakuti, Kwani hujui,
kuwa wakati huo ndiyo madawa ya kulevya na unga vilianzA kujitokeza?
Mbona mengi aliyosema Mkuyuga yako wazi?
Ni ni ambacho unakibishia kwa mfano?
(1) Loliondo unaijua?
(2) Hujui wakatyi wa mwinyoi hela zilikuwa za kumwaga mifukoni? layman akiona hivyo basi uchumi safi sana!
etc.