Huyu ndiye Simon Kisena mnunuzi wa UDA?

Jana wakati nikifuatilia mdahalo wa uuzwaji wa UDA, Mkurugenzi wa Simion Group aliulizwa kwanini wamebadilisha matumizi ya Yard ya UDA na kuikodisha kwa TBL. Hapa swali lilikwepwa na kwenda kwenye malipo anayoyafanya, hapa alijifananisha na Manji anayelipa milion 20 kwa mwaka<ambaye ana eneo kubwa zaidi>, na yeye anayelipa milion 200 kwa mwaka. Kisena alihoji nani ni tapeli kati ya yeye na Quality Group? Nionavyo: Kisena hakujibu swali, pia utapeli wa mwingine haumfanyi yeye ashindwe kutapeli. Nawasilisha
 
Kama ni Managing Director wa hiyo Simon. nadhani namfahamu na hamatch na hiyo profile,
 
Jamani hivi huyu siyo mtoto Wa ****** kweli! Mimi nimuangalia kwa makini jana nashawishika kuamini kuwa ni mbegu za mkuu!
90d0ebb0-3065-4514-a9e7-c07d57deff5f.jpg
 
Nadhani hii issue kaisuka Manji(mhindi) hasa baada ya Simon Group kuhoji kulikoni milioni 20 kwa mwaka kwa heka zaidi ya 12 kapangishwa manji hali yakuwa wao wanalipa 200 kwa robo tatu ya Heka.

Manji akadai wao ni nani kuhoji hili,na hiyo UDA hawataichukua.Habari ndiyo hiyo Mhindi anachomeka watanzania wachang'anyikiwe kisha baadae achukue kiulaini kupitia mlango wa nyuma.

Ya kweli haya? tupe data kamili bila chenga tujue ukweli halisi na siyo majungu ili tutoke kwenye maada kuu
 
Kapuya anabisha nini?mbona ukienda ktk kitabu cha wageni pale TIC(Tanzania Investment Centre) siku ya 3/08/2011,saa 13:25 aliingia na kujitambulisha kutoka ktk kampuni ya ROBESIKA?Kwenye hili dili na mtu mzima Kapuya yumo!
hii umeshika pabaya ina maana takurukua wanashindwa kuunganisha dot kama hizi
 
Tanzania shamba la bibi, watu wanajicumia tu, wala hawaogopi, nadhani maelezo yako yana ukweli fulani nikilinganisha na alivyokuwa anajibu maswali kwenye mdahalo jana na Star tv, japo alikuwa anakanusha kuhusu kuhusiana na vigogo na alikuwa akitetea kuwa SIMON GROUP ni ya familia 2 tu, ya kwake na ya rafiki yake, lakini kila alivyokuwa anajitetea kulikuwa na kila dalili ya kuonesha kuwa yule jamaa ni tapeli.
<br />
<br />
mkuu huyu jamaa nitapeli mkubwa,ana ginery pale mwanzasouth ukipita imeandikwa getini Simon group,imemshinda kamkodisha mwarabu,pia kuna jamaa mfanyabiashara anamdai milion 3 tu amemtapeli mpaka leo,na ushahidi upo,huyu bwana simon anatumiwa na kapuya kukwapua mapesa ya wadanganyika tu,amini mungu huo ndio ukweli,akanushe hapa huyo simon kama hatumuumbui kwa ushahidi wautapeliwake.
 
Nadhani hii issue kaisuka Manji(mhindi) hasa baada ya Simon Group kuhoji kulikoni milioni 20 kwa mwaka kwa heka zaidi ya 12 kapangishwa manji hali yakuwa wao wanalipa 200 kwa robo tatu ya Heka.<br />
<br />
Manji akadai wao ni nani kuhoji hili,na hiyo UDA hawataichukua.Habari ndiyo hiyo Mhindi anachomeka watanzania wachang'anyikiwe kisha baadae achukue kiulaini kupitia mlango wa nyuma.
<br />
<br />
umenena. Ni fitna za kibiashara hizi
 
Kama TRA wakiamua kufuatilia hili siyo ngumu kujua historia yake kipesa kwani kila pato hukatiwa kodi na haswa kama ana mabilioni kama anavyotaka tuamini ni nyepesi zaidi kwani faili lake ni active sana. sijui
 
Kapuya anabisha nini?mbona ukienda ktk kitabu cha wageni pale TIC(Tanzania Investment Centre) siku ya 3/08/2011,saa 13:25 aliingia na kujitambulisha kutoka ktk kampuni ya ROBESIKA?Kwenye hili dili na mtu mzima Kapuya yumo!
...Nadhani Tanzania tunahitaji kiongozi mwenye akili kama ya Iddi Amini Dadaa..Hawa wote nina uhakika angewaning'iniza pale jangwani huku tunashangalia adabu ingerudi....
 
Mungu akikubariki hata wasio na Elimu wanahela kupita nyie mnaofikiri mmesoma kumbe bado. Hivi jamani mnajua tanzania kuna hela za kumwaga? Wengine wanakula pension za GRANTS ila tukifka hapa tunaanza kuwanenea uongo. Nawaonea huruma mnaoshinda kusoma madarasani wakati wasio na elimu wanakula mihela yao ki ulaini.

Tatizo la waliosoma mnachagua kufanya nini, wasio na elimu wanaangalia kinachoingiza hela wanafanya.

Wabongo zindukeni, acheni uvivu wa kufikiri, kufanya kazi mambo yatakaa sawa.
 
Nadhani hii issue kaisuka Manji(mhindi) hasa baada ya Simon Group kuhoji kulikoni milioni 20 kwa mwaka kwa heka zaidi ya 12 kapangishwa manji hali yakuwa wao wanalipa 200 kwa robo tatu ya Heka.

Manji akadai wao ni nani kuhoji hili,na hiyo UDA hawataichukua.Habari ndiyo hiyo Mhindi anachomeka watanzania wachang'anyikiwe kisha baadae achukue kiulaini kupitia mlango wa nyuma.

Kwenye ufisadi hakuna rangi wote hatuwataki. Naomba wenye data zaidi waendelee kutujuza kuhusu huyu bwana kwani confidence alizo nazo si za kawaida. Anaonyesha kuwa na ujasiri wa kifisadi.
 
SIMON GROUP CO.LTD inayojitambulisha kununua shirika la usafiri Dar es Salaam ni wawakilishi wa viongozi wa Tanzania katika kufisadi mali za Umma.

Anae jitambulisha kama Robert Simon Kisena ambae alisoma Nsumba Sekondari School akijulikana kwa jina JOKALA KISEANA na kumaliza Kidato cha Nne mwaka 1991 baada ya hapo alijiunga na Kidato cha Tano Shule ya Sekondari Mirambo Tabora mwaka 1992, hapa alifukuzwa akiwa Kaka Mkuu baada ya kuwasaliti wanafunzi wenzake aliokuwa kiwachongea kwa mwalimu mkuu na wanafunzi kuungana na kusababisha kusimamishwa, baada ya hapa JOKALA KISENA ambae leo anajulikana kwa majina ya Robert kisena bila kutoa sababu za kubadilisha jina lake la awali alikuwan akikaa na rafiki yake uku akifanya kazi NCU Ushirika kanda ya ziwa-Nyanza,walikosana na rafiki yake aliyekuwa anakaa kwake baada ya kumpa mimba dada wa rafiki yake aliyekuwa akikaa kwake.

Katika Uchaguzi mkuu wa 1995 Kisena alichukuliwa na John Cheyo wakati huo Cheyo akiwa mgombea urais na kumuweka kuwa kama masidizi wa kusimamia mali zake Shinyanga,hapa ndio kisena alipata pesa kidogo isiyoweza kununua UDA.kisena katika kusimamia mali za cheo alifanikiwa kujenga nyumba Tatu zote zipo Nyegezi mwanza eneo lijulikanalo kwa jina la CALIFONIA.

Baada ya hapo ndio akaanzisha SIMON Agency iliyokuwa inajishughulisha na uuzaji wa spare za magari kwa muda na baadae akajiunga na Profesa Juma Kapuya akiwa waziri ambapo walifanikiwa kuanzisha kampunin iliyofahamika kwa jina la ROBASIKA-Robert Simon Kapuya na kufanikiwa kuchota bilioni 13 za wananchi kupitia Benki ya NMB mwanza kwa ushawishi wa kapuya na kuanzisha ginery ya pamba katika jimbo la kapuya .

Ndio maana ukifuatilia pesa zilizolipwa kwenye account ya Iddy Simba imelipwa na Robasika kwa niamba ya Simon Group ili wafanikiwe kuchukua UDA na Kapuya akiwamo uku Simon Group wakidai kuwa ni malipo iliyokuwa ikidaiwa na Simon Group kutoka kwa Robasika kutokana na mkataba kati ya Simon Group na Robasika wa kusafirisha mizigo.Robet kisena ni chambo tu katika kuwafanikishia watu maalum kazi.

Watanzania hapa kuna ujambazi wa mchana, tunaibiwa, Juma Kapuya, Iddy Simba, Didas Masaburi wanahujumu watanzania kupitia UDA.
Huuuuuuuuu! Nimechoka, kumbe Tanzania imeoza namna hiyo?
 
Kaazi kwelikweli!!! Nimeona details kama hizi kuhusu huyu jamaa kwenye Raia mwema ya last wednesday.
SIMON GROUP CO.LTD inayojitambulisha kununua shirika la usafiri Dar es Salaam ni wawakilishi wa viongozi wa Tanzania katika kufisadi mali za Umma.

Anae jitambulisha kama Robert Simon Kisena ambae alisoma Nsumba Sekondari School akijulikana kwa jina JOKALA KISEANA na kumaliza Kidato cha Nne mwaka 1991 baada ya hapo alijiunga na Kidato cha Tano Shule ya Sekondari Mirambo Tabora mwaka 1992, hapa alifukuzwa akiwa Kaka Mkuu baada ya kuwasaliti wanafunzi wenzake aliokuwa kiwachongea kwa mwalimu mkuu na wanafunzi kuungana na kusababisha kusimamishwa, baada ya hapa JOKALA KISENA ambae leo anajulikana kwa majina ya Robert kisena bila kutoa sababu za kubadilisha jina lake la awali alikuwan akikaa na rafiki yake uku akifanya kazi NCU Ushirika kanda ya ziwa-Nyanza,walikosana na rafiki yake aliyekuwa anakaa kwake baada ya kumpa mimba dada wa rafiki yake aliyekuwa akikaa kwake.

Katika Uchaguzi mkuu wa 1995 Kisena alichukuliwa na John Cheyo wakati huo Cheyo akiwa mgombea urais na kumuweka kuwa kama masidizi wa kusimamia mali zake Shinyanga,hapa ndio kisena alipata pesa kidogo isiyoweza kununua UDA.kisena katika kusimamia mali za cheo alifanikiwa kujenga nyumba Tatu zote zipo Nyegezi mwanza eneo lijulikanalo kwa jina la CALIFONIA.

Baada ya hapo ndio akaanzisha SIMON Agency iliyokuwa inajishughulisha na uuzaji wa spare za magari kwa muda na baadae akajiunga na Profesa Juma Kapuya akiwa waziri ambapo walifanikiwa kuanzisha kampunin iliyofahamika kwa jina la ROBASIKA-Robert Simon Kapuya na kufanikiwa kuchota bilioni 13 za wananchi kupitia Benki ya NMB mwanza kwa ushawishi wa kapuya na kuanzisha ginery ya pamba katika jimbo la kapuya .

Ndio maana ukifuatilia pesa zilizolipwa kwenye account ya Iddy Simba imelipwa na Robasika kwa niamba ya Simon Group ili wafanikiwe kuchukua UDA na Kapuya akiwamo uku Simon Group wakidai kuwa ni malipo iliyokuwa ikidaiwa na Simon Group kutoka kwa Robasika kutokana na mkataba kati ya Simon Group na Robasika wa kusafirisha mizigo.Robet kisena ni chambo tu katika kuwafanikishia watu maalum kazi.

Watanzania hapa kuna ujambazi wa mchana, tunaibiwa, Juma Kapuya, Iddy Simba, Didas Masaburi wanahujumu watanzania kupitia UDA.
 
Kwenye ufisadi hakuna rangi wote hatuwataki. Naomba wenye data zaidi waendelee kutujuza kuhusu huyu bwana kwani confidence alizo nazo si za kawaida. Anaonyesha kuwa na ujasiri wa kifisadi.
<br />
<br />
umeona na wewe jamaa anaconfidence hatari cjui anajiamin ni2 huyu
ok!2taona mwisho wake na masubiri km anahucka y magazet ya leo amesema atapambana na mafisadi au ndo wamechanganyana datz y wanagombana
let zem quarrel coz frm zer 2tapata ukwel
 
yaani hawa ndiyo wawekezaji wazalendo sasa sijui tukimbilie wapi watanzania na mali zetu? hapa kuna siri kubwa mno juu ya sakata hili na watu ni wanjanja sana wanatumia hizi hizi sheria zetu kukwapua mali za umma bila hata aibu.

Kwa kheri Usafiri Dar es Salaam.
 
watanzania lazima tujue kuchanganua mambo! mimi nikiangalia madhaifu ya viongozi ne mengi sana! tukuamua kumfatilia kila mtu katika uongozi wake klafanya nini nadhani itabidi tujenge mahabusu zingine make watu wameoza mno!

ombi langu! kama hawa jamaa simon group wamefata sheria na kama mkataba unaonekana unatija kwa wakazi wa dar es salaam ambao ndo wadau wakuu wa uda basi tumuache tuangalie, madini yamechukuliwa hadi sasa yanaenda kuisha na hakuna kinachoendelea! uda irudi mikononi mwa wananchi ni mkakati upi upo kufufua uda mpaka sasa huku hali bajet ya wizara husika imesomwa na hatukuona fungu hata cent moja ya uda???

sisi ndo tunakwamishana wenyewe na hayahaya ndo yalitokea kwa mengi na kilimanjaro! tusiongee tu kwa kusoma magazeti na forums kama hizi bali twende nje ya mipaka tufanye due deligence then from there you can speak na sio mambo ya siku hizi kila mtu mwndishi wa habari, kila mtu mwanasiasa, kila mtu mwanasheria. hatuwezi kufika tuache vyombo husika vifanye kazi yake!

mermart ametoa ya uda na msome mmjiridhishe

nawasilisha
 
Back
Top Bottom