Huyu ndiye rais wetu wa ukweeeh

Jay Milionea

JF-Expert Member
Apr 19, 2015
1,185
154
Hili halina ubishi, jamaa hana masihara katika kazi na huyu ndiye Rais wetu wa ukweli.
[video=youtube_share;zlmEmDMB5p4]http://youtu.be/zlmEmDMB5p4[/video]
 
hana masihara kabisa hata kwenye nyumba za umma alizouza kwa bei chee na zile billion 200 alizofisadi kwa mujibu wa report ya CAG.
 
Hana mzaha kwakweli

1. Aliipigia chapuo katiba feki ya chenge na kuipigia ndiyooo, maadili na mambo yote yamsingi yakiwa yameondolewa

2. Akapigia ndiyoo miswaada mitatu ya gesi fasta

Huyu ni fisadi mkubwa asiye na mzaha.
 
Hana mzaha kwakweli

1. Aliipigia chapuo katiba feki ya chenge na kuipigia ndiyooo, maadili na mambo yote yamsingi yakiwa yameondolewa

2. Akapigia ndiyoo miswaada mitatu ya gesi fasta

Huyu ni fisadi mkubwa asiye na mzaha.

Hana mzaha kweli amenunua kiviko kwa mabilion kwa ajili ya kufugia nyuki na popo.
 
hana masihara kabisa hata kwenye nyumba za umma alizouza kwa bei chee na zile billion 200 kwa mujibu wa report ya CAG.
Na wivu wa kijinga wewe huna lolote ukubali usikubali huyu ndiye Rais wako na wangu we weka porojo zako tu lkn hazisaidii kitu hapa
 
Hana mzaha kwakweli

1. Aliipigia chapuo katiba feki ya chenge na kuipigia ndiyooo, maadili na mambo yote yamsingi yakiwa yameondolewa

2. Akapigia ndiyoo miswaada mitatu ya gesi fasta

Huyu ni fisadi mkubwa asiye na mzaha.

Wewe mshenzi sana na huna akili kwanza nionyeshe IBARA gani iliyoondolewa kwenye Katiba inayopendekezwa maana kama ni mambo ya maadil ya Utumishi wa Umma yapo ktk IBARA YA 28 hadi 31 sasa we unaizungumiza Katiba ya mmeo au hii Inayopendekezwa, kenge weee, kasome ndo uje na hoja sio unakurupuka na kuweka uongo wako hapa
 
Wewe mshenzi sana na huna akili kwanza nionyeshe IBARA gani iliyoondolewa kwenye Katiba inayopendekezwa maana kama ni mambo ya maadil ya Utumishi wa Umma yapo ktk IBARA YA 28 hadi 31 sasa we unaizungumiza Katiba ya mmeo au hii Inayopendekezwa, kenge weee, kasome ndo uje na hoja sio unakurupuka na kuweka uongo wako hapa

Acha kutukana watu wewe.umeleta uzi tulia unyolewe sasa povu la nini?au unataka kila mtu aunge hoja mkono mia kwa mia kama wabunge wa ccm?
 
Wewe mshenzi sana na huna akili kwanza nionyeshe IBARA gani iliyoondolewa kwenye Katiba inayopendekezwa maana kama ni mambo ya maadil ya Utumishi wa Umma yapo ktk IBARA YA 28 hadi 31 sasa we unaizungumiza Katiba ya mmeo au hii Inayopendekezwa, kenge weee, kasome ndo uje na hoja sio unakurupuka na kuweka uongo wako hapa

mbona umepanic mapema sana??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom