Huyu ndiye rafiki na kipenzi cha maisha yangu

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,746
Sina hela, sina kazi, ma HR wa humu JF nao hawataki kutushika mikono wenzao ili nasi tuwe binadamu kama wao,yani kwa kifupi ni fully vurugu tu.

Nimeamua huyu jamaa ndiyo awe rafiki kipenzi wa maisha yangu.

Asante

20220328_200202.jpg
 
Hongera ,kama unauwezo wa kushika 2500 ya hiyo kitu kwa siku inamaana unamudu maisha .Achana na ma-HR komaa tu na mtaa
 
Back
Top Bottom