tayar nimepost muendelezoNaisubili hiyoo
tayar mkuuMuendelezo mkuu
Umepost wapi? Mbona siuonitayar nimepost muendelezo
Sisi hatuwajui hawa wauza madawa ya kuiharibu dunia. Wacha tuwasome.bwege wewe.
kwa taarifa yako hakuna asiyejua habari za el chapo. hiyo sehemu ya pili wala usijisumbue kuleta jf. baki nayo hukohuko.
iko wapi mkuu mbna hatuionitayar nimepost muendelezo
Ŕ
Sisi hatuwajui hawa wauza madawa ya kuiharibu dunia. Wacha tuwasome.
Wewe ungesepa tu au ungeongezea nyama.
Escobar ni famous tu kwa sababu alikua anajitangaza sana kwenye media na alikua mwana siasa na nusu achaguliwe kuwa rais wa colombia...ila Medellin cartel aliokua anaongoza ilikua cha mtoto uki linganisha na Cali CartelEscobar n baba lao
Hìii haitabadilika
Jamaa anatuhadithia Narcos México.
We achana kabisa na Medelin cartel ya Pablo hao Cali washawahi kuwa wafanyakazi wa Pablo baadae wakajitenga na kuanzisha kundi lao la Cali na bado hawakuwa na nguvu kivile kundi la Cali lilishirikiana na serikali ya mexico pamoja na mmarekani kulivunja kundi la medelin.Escobar ni famous tu kwa sababu alikua anajitangaza sana kwenye media na alikua mwana siasa na nusu achaguliwe kuwa rais wa colombia...ila Medellin cartel aliokua anaongoza ilikua cha mtoto uki linganisha na Cali Cartel
We achana kabisa na Medelin cartel ya Pablo hao Cali washawahi kuwa wafanyakazi wa Pablo baadae wakajitenga na kuanzisha kundi lao la Cali na bado hawakuwa na nguvu kivile kundi la Cali lilishirikiana na serikali ya mexico pamoja na mmarekani kulivunja kundi la medelin.
Ndo maana unaona Cali cartel inakuja kuwa na nguvu baada ya Pablo kuuliwa