Ogopa muhalifu anakaa chini na serikali na kuiambia kama mnataka kunifunga basi acheni nijenge gereza langu mwenyewe halafu walinzi wake ndo ma askari wa gereza
Achana kabisa na El Patron Pablo
Mzee pablo mtu mwingine sometym alkua anajihisi Yy ni Mungu maana akisema mtu flan afe ata kesho anawez asiione aliangusha ndege inshot pablo alkua mtu mwingne ilifkia hatua kwa nwaka anapoteza us dollar 2500kununua rubber band za kufungia ela
Ataongezeaje nyama wakati ameumbwa kwa udongo uliochanganyikana madini ya majungu na roho mbaya....Ŕ
Sisi hatuwajui hawa wauza madawa ya kuiharibu dunia. Wacha tuwasome.
Wewe ungesepa tu au ungeongezea nyama.
Unawafahamu watu wote humu pamoja na kazi zao?Polisi na TISS badala wawe wanasoma article kama hizi wao wako busy insta kuangalia Fatma Karume na MangeKimambi wamepost nini