ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,712
- 28,262
Ukiwa padre huruhusiwi kut.omba......Nimeona hapo huyo padre alipotumia toba ya mwenzake kumuangamiza, ni vyema toba ielekezwe kwa Mungu moja kwa moja na sio kwa mtu wa pili aifikishe.
Mwenyezi Mungu hamchukii mwanadamu mpk asimkubalie toba yake moja kwa moja
sijatumia tasifida ili nionyeshe uzito wa kosa...