Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Katekista alinifundisha nisifiche dhambi hata moja maana ungamo langu halitakubalika, pia aliniambia nitaje dhambi kwa majina yake...kuiba, kuzini, nk na nitaje mara ngapi, lini na wapi nilitenda dhambi hizo, ....pia mkuu huwa tunaungama na dhambi zote TULIZOZISAHAU, sio kujisahaulisha!
"...na wote mtakaowafungulia (wasamehe) duniani pia watakuwa wamefinguliwa mbinguni...."
Imani hizi jamani!