Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
MWITONGO Kasepa!! Ngoma nzito kudadadeki...!
Kwani unadhani Benjamini Mkapa anatamani tena kujifanya anajuwa Familia za watu!!......Nimeshangaa huyu Mwitongo ameshindwa kujifunza kwa Che Nkapa.MWITONGO Kasepa!! Ngoma nzito kudadadeki...!
mwenzangu......................!!Duh...!
hapa nachanganywa tu....
Niaje kuhusu Yericko Nyerere?
Kuladadeki . . . .
Ngoma nzito hii sijui kama utaiweza.
je Mkapa anakutambua?Vipi mkuu Mwitongo na wewe ni wa ukoo wa Nyerere?
Mwitongo kamsahau Uncle Ben naye sijui ni mtoto wa ngapi banaMie bado siamini hii taarifa yako mpaka Rais mstaafu Benjamin Mkapa adhibitishe.
Unless Mkapa adhibitishe hii habari yako itakuwa na walakini mkubwa sana
wiseboy do not become a stupidy boy, post moja inatosha kuorodhesha hoja zako, huu uandishi wa kifacebook hapa haukubaliki, usitujazie page pasipo na sababu za msingi.
''Maswali'' mengine yanaonyesha jinsi muulizaji alivyo juhaet kuna wakat maaskari toka libya kama sijakosea, walikuja kumuua nyerere, walipofika btma akageuka kuwa katoto kachafu kenye masalia ya mlenda mdomoni, vp kweli.,?
unataman uwe jf shareholder ili uapply ubaunsa wako.....ha haaaa am a wiseboy thnx kwa tusi, 4 sure am a stupid kwako bt i wont b so 2 others....
Mshamba tu wewe, unaweweseka na mimi!!....utapata stress za bure young Boy, mnadhani hapa JF ni pakuleta alfu lela ulela!!Very good boy. Kazoea huyo.
Hakuna mtoto wa mwalimu aliyefariki katika ajali ya ndege wakati wa vita. Andrew alikuwa Fighter pilot kama alivyokuwa mdogo wake, John. Makongoro alikuwa mtaalamu wa mizinga. Wakati wa vita Makongoro alipigana mstari wa mbele. Kwa kifupi niseme hakuna mtoto wa mwalimu aliyekwishafariki, iwe vitani au kwa namna nyingine. Wote wakingali hai. Mwalimu alikuwa mvuta sigara, na aliacha baada ya Uhuru. Hakuna kumbukumbu za yeye kuvuta siga kubwa! Kuhusu hilo la katiba ya Tanu ni kweli, lakini aliandika katika pango kule Ikizu.
Nawasilisha
Hivi tukivamiwa leo, ni kiongozi gani anaweza kupeleka watoto wake watatu vitani?
Mie bado siamini hii taarifa yako mpaka Rais mstaafu Benjamin Mkapa adhibitishe.
Unless Mkapa adhibitishe hii habari yako itakuwa na walakini mkubwa sana
we hujui kwenye vita ya kufuta umaskin wa familia, ridhwan ndo amiri jeshi mkuu!
watto wa viongozi wa sasa hawataki kuwa wanajeshi-wengi wanafanya biznes zaoBig up brothers....! Watoto wa mpigania uhuru ni wanajeshi wa ukweli...!
maswali yapo,nayaona mengi tu-sema unarespond kwa spid ndogo sana,pia hujibu yote,ungekuwa unajibu yote hii thread ingekuwa nzuri sanaNdugu zangu, nimeona mjadala mkali unaomhusu Andrew Nyerere. Wapo wanaomkejeli kwa jina lake, na wengine wanamzushia tu mambo. Nimeona nieleze haya machache. Andrew Nyerere ndiye first born wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Burito. Jina lake la kuzaliwa ni Burito. Burito ni babu yake Mwalimu Julius Nyerere. Andrew ana wadogo zake. Mtiririko wao wa kuzaliwa ni Anna Watiku, Emil Magige, John-Guido Nyerere, Charles Makongoro, Godfrey Madaraka, Rosemary na Pauleta.
Nimeona nitoe elimu hii fupi nikiamini kuwa katika JF suala la kuelimishana limepewa umuhimu mkubwa. Kama lipo swali, nawakaribisha. Asanteni sana.