dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
asante mkuu, kumbe ile kesi ya kutunguliwa ndege yenye mtoto wa nyerere ilikuwa janja ya mayunga.
Nina swali lingine mkuu;
1.fimbo ya nyerere iliyoko kwenye makumbusho ya nyerere butihama nasikia ni feki, fimbo halisi ipo ikulu je ni kweli?
2. kaburi la nyerere kabla ya mwezi haujaisha tangu azikwe lilipasuka na kutoa mlio mkali kiasi kwamba walinzi wa ile sehemu wote walikimbia isipokuwa aliyekuwa mlinzi wake?
3. je asili ya neno nyerere ni Rwanda/Burundi likiwa na maana ya utelezi/teleza?
Nina swali lingine mkuu;
1.fimbo ya nyerere iliyoko kwenye makumbusho ya nyerere butihama nasikia ni feki, fimbo halisi ipo ikulu je ni kweli?
2. kaburi la nyerere kabla ya mwezi haujaisha tangu azikwe lilipasuka na kutoa mlio mkali kiasi kwamba walinzi wa ile sehemu wote walikimbia isipokuwa aliyekuwa mlinzi wake?
3. je asili ya neno nyerere ni Rwanda/Burundi likiwa na maana ya utelezi/teleza?