Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 698
Habari wana jamii forum.
Kiukweli hili halina ubishi wakuu.
Ukimskiliza huyu dogo anavyoimba sijaoana wa kumpanisha naye hapa Afrika.
Nilipomalza kumsikiliza kila mtu alikataa akasema huyu dogo labda kakulia marekani. Kila mtu alikili kuwa huyu msanii sio wa Afrika hii.
Ukisikiliza vizuri unaweza kusema labda huyu apambanage na wasani wakubwa wa Marekani.
Huyu ndiye msanii wa Afrika kwa sasa.
Akina Diamond, Alikiba, n.k wamtafute huyo dogo awafundishe mziki. Ikiwezekana hata washirikiane naye. Ili Afrika apate wasani wengi wenye uwezo wa kuimba kama hawa.
Kiukweli ukimsikiliza ni anaimba haongei.
Kiukweli hili halina ubishi wakuu.
Ukimskiliza huyu dogo anavyoimba sijaoana wa kumpanisha naye hapa Afrika.
Nilipomalza kumsikiliza kila mtu alikataa akasema huyu dogo labda kakulia marekani. Kila mtu alikili kuwa huyu msanii sio wa Afrika hii.
Ukisikiliza vizuri unaweza kusema labda huyu apambanage na wasani wakubwa wa Marekani.
Huyu ndiye msanii wa Afrika kwa sasa.
Akina Diamond, Alikiba, n.k wamtafute huyo dogo awafundishe mziki. Ikiwezekana hata washirikiane naye. Ili Afrika apate wasani wengi wenye uwezo wa kuimba kama hawa.
Kiukweli ukimsikiliza ni anaimba haongei.