Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,594
- 9,338
In fact LL.B alisoma Kampala University ya Uganda campus 2003-2006 kule ni miaka mitatu tu. Then LLM alipiga UDSM
Malangali alisoma mwaka gani mkuu? Ikiwezekana na mwaka aliosoma na kumaliza Makerere pia uweke