Kaimwagie maji sura ilainikeduh mbona ana sura ngumu namna hiyo..!
Hana undugu na marehemu Remmy Ongala? tuanzie hapo kwanza.
Huwa wanaangalia vitu vingi mkuu, public speaking, ujasiriamali, community participation, business awareness nk, na urembo ni kigezo moja wapo and I think it's a minor oneMbona mbaya namna hiyo?!
Baki hivyo hivyo..Kuna umiss Bantu pia
Haya tumemuona,ila kwa ushauri jamani wakati wa kuchagua hawa warembo tusiwe tunatumia vilevi..
Daaa kumbeHuwa wanaangalia vitu vingi mkuu, public speaking, ujasiriamali, community participation, business awareness nk, na urembo ni kigezo moja wapo and I think it's a minor one
Ila shurti avimbe kule sasa asitune kote kama asha boko.Baki hivyo hivyo..Kuna umiss Bantu pia
Unawatamanisha vijana ujueteh ! sukuma breed!
Unawatamanisha vijana ujue
Haya banamh!nawatamanishaje tena !ah wapi wana yao!
Kumbe una mtu tayari..Moyo komaamrs NANYUPU mie