Osambi ze Great
Member
- Jun 5, 2013
- 36
- 11
Pole ndugu yangu. Unajipakazi sana kutafuta udhaifu wa viongozi wa CDM lakini hutafanikiwa zaidi sana utakuwa unajiaibisha kwa kutojua siasa. Mh. Mbowe ni Maarufu na hahitaji kuupata kupitia Rasimu ya Katiba. Wanaotafuta umaarufu kwa sasa ni viongozi wa CCM ambao, awali, walipinga kwa nguvu zote uundwaji wa katiba mpya, lakini sasa wako mstari wa mbele kuizungumzia. Mh. Mbowe is a Politician, knows what is better for the Tanzanians and what is not, hakurupuki.