Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Wana JF nimesikia kupitia radio KASIBANTE (iliyoko Bukoba) ya huyu Bwana "live" wakati akiwahutubia watu waliokusanyika katika kufunga wiki ya shehere za miaka 33 ya CCM. Yafuatayo ni baadhi ya matamshi yake:
1. Siko tayari kuona mtu eti anakuja kugombea jimbo hili
2. Kwa nini nisiwe mgombea pekee
3. Nimewekeza hapa si nanyi mnaona, iweje mtu aje kuleta vurugu hapa.
4. Atakufa mtu hapa!
5. Wananchi msikubali mtu kuweka jina hata kwenye kura za maoni.
6. Chama ni kimoja na mimi nipo sasa mwingine wa nini, atakufa mtu hapa!
Yapo mengi namba mlio na uwezo wa ku access speach yake yote muiweke hapa tuone huyu bwana ni kizazi gani.
Mie namuona kwa mtazamo tofauti kutokana na heshima aliyonayo ila kwa matamshi haya huyu anaweza akawa nduguye HITLER.
Achilia mbali usumbufu waliowapa wasafiri wengine waliokuwa wanatumia barabara iliyofungwa na maandamano ya wafuasi wake kwa zaidi ya masaa mawili wakati wanatoka kwenye mkutano.
Inashangaza jana mikutano mingi wageni rasmi walikuwa wabunge badala ya viongozi wa chama na wengi walitoa matamshi kama ya huyu bwana.
Inaashilia nini?
1. Siko tayari kuona mtu eti anakuja kugombea jimbo hili
2. Kwa nini nisiwe mgombea pekee
3. Nimewekeza hapa si nanyi mnaona, iweje mtu aje kuleta vurugu hapa.
4. Atakufa mtu hapa!
5. Wananchi msikubali mtu kuweka jina hata kwenye kura za maoni.
6. Chama ni kimoja na mimi nipo sasa mwingine wa nini, atakufa mtu hapa!
Yapo mengi namba mlio na uwezo wa ku access speach yake yote muiweke hapa tuone huyu bwana ni kizazi gani.
Mie namuona kwa mtazamo tofauti kutokana na heshima aliyonayo ila kwa matamshi haya huyu anaweza akawa nduguye HITLER.
Achilia mbali usumbufu waliowapa wasafiri wengine waliokuwa wanatumia barabara iliyofungwa na maandamano ya wafuasi wake kwa zaidi ya masaa mawili wakati wanatoka kwenye mkutano.
Inashangaza jana mikutano mingi wageni rasmi walikuwa wabunge badala ya viongozi wa chama na wengi walitoa matamshi kama ya huyu bwana.
Inaashilia nini?