Huyu Ndiye Mange Kimambi ambaye uzushi wake unaungwa mkono na Kiongozi Mkuu Wa Chama. Ni aibu!

Status
Not open for further replies.

Cybercrime

JF-Expert Member
Feb 14, 2014
3,246
1,113
Unawezaje kuunga mkono Uzushi na Kauli za Mtu kama huyu? Au ndo tuseme matatizo yenu yanafanana? Ni aibu sana.
IMG-20160906-WA0003.jpg

 
Sasa hivi hapo Zitto ameunga mkono kilichoandikwa na Mange au reference yake ni hiyo barua ya Ofisi ya Makamu wa Rais ambayo imekimbilia kukanusha?! Hivi hapo mtu anahitaji kufahamu Mange alisema nini ikiwa ataweza kuiona hiyo barua?!
 
Mbona povuuuuu....nani kanuna?!!!Muosha huoshwaaaa...
Alivyokua anamtukuana Lowassa mbona mlikua mnamshangilia sana tu hatukuona mathread kama haya...Leo vipi...?!!

Goes around come back around ten time harder.....!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom