Huyu ndiye Lissu Mzalendo anayepigania maslahi ya Tanzania na Watanzania

Acha ujinga wewe! Siheshimu mamlaka za Majizi, Mafisadi, Dhalimu, Waongo, Watekaji, Watesaji, wanaodharau katiba, raia, bunge na mahakama na pia WAUAJI hiyo nakuachia wewe Dr ZWAZWA.

Heshimu mamlaka iliyokulea na kukusomesha tena bure hadi kufikia hapo ulipo. Mamlaka hiyo ni TANU/ CCM iliyoongoza nchi hii tangia mwaka 1961 baada ya kumung'oa mkoloni. CCM ndiyo baba yako na ndiyo mama yako. Ndiyo iliyoruhusu vyama vingi vya kisiasa kwa lengo la kupata fikra bora bora mbadala kutoka kwa wawakilishi wa wananchi ili kuboresha utawala wa nchi na kuongeza kasi ya maendeleo. Bahati mbaya sana kenge kama nyie wakapata mwanya wa kutaka kuvuruga nchi. Mwisho wenu ni tarehe 28/10/2020. Baada ya hapo hamutasikika wala kuonekana tena
 
Huwa sijibishani na waenda wazimu because people will not notice the difference. Baki na baba yako Tundu Lissu. Majibu na aibu utaipata tarehe 28/10/2020. Haitatokea hata siku moja nchi yetu ikaongozwa na schizophrenia (wendawazimu) kama wewe na lissu wako.
Mbona umepanic aisee, ni nini mbaya?
Jamaa ameuliza swali zuri kwa reference ya mwenezi Polepole, badala kujibu unatukana,huoni kuwa inaonyesha kuwa wewe u mjinga?
 
Heshimu mamlaka iliyokulea na kukusomesha tena bure hadi kufikia hapo ulipo. Mamlaka hiyo ni TANU/ CCM iliyoongoza nchi hii tangia mwaka 1961 baada ya kumung'oa mkoloni. CCM ndiyo baba yako na ndiyo mama yako. Ndiyo iliyoruhusu vyama vingi vya kisiasa kwa lengo la kupata fikra bora bora mbadala kutoka kwa wawakilishi wa wananchi ili kuboresha utawala wa nchi na kuongeza kasi ya maendeleo. Bahati mbaya sana kenge kama nyie wakapata mwanya wa kutaka kuvuruga nchi. Mwisho wenu ni tarehe 28/10/2020. Baada ya hapo hamutasikika wala kuonekana tena
Mwl NYERERE aliwahi kusema "CCM SI MAMA YANGU" na huyu ni muasisi wa chama, leo Kuna watu bado mnafikiria chama kuwa "baba na mama" yako?

Halafu aliyesema CCM ndiyo inasomesha watu nani? Maana kodi zinalipwa na raia wote, haijalishi vyama vyao,sasa unawezaje kujiita "Dr" hata haka ka Jambo kadogo tu HAUJUI?
 
Lisu amewatetea wamiliki wa asili wa mashamba na maeneo yao hata kuwatoa jela watz Zaid ya 230 waliofungwa kwa dhuluma na serikali ya Mkapa walipopinga kuporwa na kufukuzwa maeneo yao ili kupisha uporaji wa raslimali za madini ya dhahabu Mwanza , Geita na Mara. Aliwatetea bila kuwatoza hata sent na wakaachiwa huru, wapo waliobambikwa kesi wafungwe miaka 30 eti kisa tu wamepinga kuporwa maeneo yao.
 
Lisu amewatetea wamiliki wa asili wa mashamba na maeneo yao hata kuwatoa jela watz Zaid ya 230 waliofungwa kwa dhuluma na serikali ya Mkapa walipopinga kuporwa na kufukuzwa maeneo yao ili kupisha uporaji wa raslimali za madini ya dhahabu Mwanza , Geita na Mara. Aliwatetea bila kuwatoza hata sent na wakaachiwa huru, wapo waliobambikwa kesi wafungwe miaka 30 eti kisa tu wamepinga kuporwa maeneo yao.
Raisi wa wanyonge ni nani kati ya Lisu na hao wengine wanajiita maraisi wa wanyonge ndomoni
 
Lisu alikuwa zamani!

Baada ya wazungu wa migodi kumramba ndio akageuka msaliti wa nchi.
 
Hebu nichukue kamusi langu niwatafsirie UVCCM, maana washaanza kuchangia vitu tofauti na mada iliyowekwa mezani
 
Heshimu mamlaka iliyokulea na kukusomesha tena bure hadi kufikia hapo ulipo. Mamlaka hiyo ni TANU/ CCM iliyoongoza nchi hii tangia mwaka 1961 baada ya kumung'oa mkoloni. CCM ndiyo baba yako na ndiyo mama yako. Ndiyo iliyoruhusu vyama vingi vya kisiasa kwa lengo la kupata fikra bora bora mbadala kutoka kwa wawakilishi wa wananchi ili kuboresha utawala wa nchi na kuongeza kasi ya maendeleo. Bahati mbaya sana kenge kama nyie wakapata mwanya wa kutaka kuvuruga nchi. Mwisho wenu ni tarehe 28/10/2020. Baada ya hapo hamutasikika wala kuonekana tena
Mmoja kati ya wapumbavu wachache mliobakia katika nchi hii.
 
Kuna vilaza wa Lumumba, watoto wa juzi utasikia kaifanyia nini Tanzania?!
Kweni kafanya nini Lisu? Ninyi mnadhani kila anayeweza kucomment humu ni mwanasiasa au mpenzi wa chama fulani? Lisu ni muhuni tu anayetafuta pesa kupitia ujinga wa watu wachache wenye sauti kwenye koo ya kupiga makelele ovyo ovyo bila kutumia hekima na kuchanganua mambo
 
[SUP][/SUP]
[SUP]Kipindi hicho alikuwa anaenda vizuri sana, wakati huo selikali kwa mujibu wa Mnyika ilikuwa dhaifu sana![/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Sasa alipoingia Magu akaanza kushughulikia hayo ndio Lisu alipogeuka adui.[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Kiufupi Lisu huwa anacheza ma wakati kulingana na kiongozi aliyepo madarakani na hufanya hivyo kwa manufaa yake.[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Lisu angekuwa serious angeungana na Magufuli kupigania alichokuwa analipigania kwa muda wa hiyo miaka 30[/SUP]
[SUP]Lakini yeye aligeuka akawa upande wa hao wezi huku akisema tutashitakiwa.[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Kwa hivyo ni sahihi kusema kwamba Lisu alikuwa anapiga kelele, ili kelele zake ziwe zinampa kipato toka kwa hao wezi.[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Umesema jambo moja limenigusa sana...[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]"....angeungana na Magufuli kupigania alichokuwa anakipigania...."[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Ni wazi sasa kuwa akili yako wewe Crimea inaanza kuzalisha fikra sahihi na zenye tija...[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Tukiweza kulijadili hili positively kila mmoja akiwa "very calm" huku akiruhusu akili yake kufanya kazi sawasawa, tutafika tunapotaka kwenda tukiwa wamoja na maendeleo tuyatakayo tutayapata....[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]TWENDE KWENYE HOJA;[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Una tatizo moja la "misconception". Unakosa kabisa kuipata mantiki ya hoja ya Tundu Lissu ya kusema;[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP] "..... tuki mess up, tutashitakiwa..." [/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Hii ni kauli ya tahadhari, ina nia njema ya kuitakia Tanzania mafanikio. Tahadhari yenyewe ilikuwa ni hii;[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Kwamba, tunapaswa kukabiliana na wawekezaji hawa kwa utulivu na tukiwa na maarifa kwa sababu sisi wenyewe tukiwa nchi, tuliingia mikataba ya kisheria na wawekezaji hawa tena mikataba inayolindwa na sheria za uwekezaji wa mitaji za kimataifa.....[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Kuwaingilia na kutaka kuwavuruga pasipo kutumia maarifa na utaratibu unaokubalika kisheria, mwisho wa siku ni lazima sheria za kimataifa zitaibana nchi yetu. Huku ndiko kushitakiwa alikomaanisha Tundu Lissu...[/SUP]
[SUP][/SUP]

Mpaka hapo unaweza kuona kabisa Tundu Lissu hana tatizo. Tatizo liko kwa serikali anayoongoza Magufuli na CCM kwa ujumla...

Rais angekuwa na NIA NJEMA YA KUFANYA KAZI HII NA WATU AINA YA TUNDU LISSU angeweza kukaa nao na kufanya kazi nao....

Lakini bahati mbaya sana kuwa, nia hiyo hana. Huyu hana tofauti na waliomtangulia. Wanadhani wanajua na wengine hawajui...

Kwa hiyo, Magufuli naye yupo hapo kuutetetea mfumo alioukuta na kuushiriki kuujenga...

Magufuli angekuwa na nia njema, angemlinda Tundu Lissu na siyo kumweka ktk mazingira magumu kama anavyofanya sasa na hata kutaka kumuua mara kwa Mara...
 
[SUP][/SUP][SUP][/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Umesema jambo moja limenigusa sana...[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]"....angeungana na Magufuli kupigania alichokuwa anakipigania...."[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Ni wazi sasa kuwa akili yako wewe Crimea inaanza kuzalisha fikra sahihi na zenye tija...[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Tukiweza kulijadili hili positively kila mmoja akiwa "very calm" huku akiruhusu akili yake kufanya kazi sawasawa, tutafika tunapotaka kwenda tukiwa wamoja na maendeleo tuyatakayo tutayapata....[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]TWENDE KWENYE HOJA;[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Una tatizo moja la "misconception". Unakosa kabisa kuipata mantiki ya hoja ya Tundu Lissu ya kusema;[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP] "..... tuki mess up, tutashitakiwa..." [/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Hii ni kauli ya tahadhari, ina nia njema ya kuitakia Tanzania mafanikio. Tahadhari yenyewe ilikuwa ni hii;[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Kwamba, tunapaswa kukabiliana na wawekezaji hawa kwa utulivu na tukiwa na maarifa kwa sababu sisi wenyewe tukiwa nchi, tuliingia mikataba ya kisheria na wawekezaji hawa tena mikataba inayolindwa na sheria za uwekezaji wa mitaji za kimataifa.....[/SUP]
[SUP][/SUP]
[SUP]Kuwaingilia na kutaka kuwavuruga pasipo kutumia maarifa na utaratibu unaokubalika kisheria, mwisho wa siku ni lazima sheria za kimataifa zitaibana nchi yetu. Huku ndiko kushitakiwa alikomaanisha Tundu Lissu...[/SUP]
[SUP][/SUP]

Mpaka hapo unaweza kuona kabisa Tundu Lissu hana tatizo. Tatizo liko kwa serikali anayoongoza Magufuli na CCM kwa ujumla...

Rais angekuwa na NIA NJEMA YA KUFANYA KAZI HII NA WATU AINA YA TUNDU LISSU angeweza kukaa nao na kufanya kazi nao....

Lakini bahati mbaya sana kuwa, nia hiyo hana. Huyu hana tofauti na waliomtangulia. Wanadhani wanajua na wengine hawajui...

Kwa hiyo, Magufuli naye yupo hapo kuutetetea mfumo alioukuta na kuushiriki kuujenga...

Magufuli angekuwa na nia njema, angemlinda Tundu Lissu na siyo kumweka ktk mazingira magumu kama anavyofanya sasa na hata kutaka kumuua mara kwa Mara...
Mkuu hujaelewa! Lisu mwanzo kabisa alikuwa na hoja na alikuwa mzalendo ila Magufuli alipoingia na kuanza kushughulika na mambo aliyokuwa anayapigania Lisu siku za nyuma, yeye Lisu aligeuka mbogo na kama unakumbuka mpaka aliita ile ripoti ya kamati ya kina Kabudi kuwa ni professional rubbish!

Sijui hoja ya Lisu kufanya vile ilikuwa ni nini ila kwa kutazama wale wezi wa madini walikuwa wameshamshape Lisu na kuwa upande wao maana Lisu ilifikia wakati akawa anawatetea wazungu waziwazi kabisa na kuanza kumkejeli rais Magufuli!

Magufuli huenda hajapata kile alichotamani nchi ipate kutokana na kubanwa na hiyo mikataba lakini angalau badala ya kupata 1 sasa tunapata 2.

Lakini katika hizo juhudi za kupata hiyo 2 anatokea mtu kama Lisu na kuanza kufoka kwamba Magufuli analiingiza taifa matatizoni tena kwa kejeli, unafikiri wale wazungu wanapata picha gani?

Ilifika hatua Lisu anapewa document na wazungu ili awasemee, na ushahidi wa hilo ulitolewa siku ile ya ile ripoti inatolewa na ndio Lisu alipopata hasira na kuita ile ripoti ni professional rubbish!

Usifikiri wazungu wanawatumia watu mbugila mbugila! Hapana! Wanatumia watu wenye akili na ushawishi kama hawa kina Lisu ili kuendelea kuinyonya nchi.

Sijui Lisu anapoongelea habari ya mikataba alikuwa anatakaje? Kwamba kwa vile tuna mikataba nao tuache tuendelee kunyonywa? Kama kuna uwezekano wa kulipa bilion 5 uvunje mkataba ili uokoe bilion 10 kwanini usivunje?

Haya sasa hao wazungu wametushtaki?
 
Hiyo ndio roho ya mrundi mmoja hv anajiita jiwe au kichaa na sio mzalendo na mtetezi wa kweli wa watanzania na binadamu wote TUNDU LISSU ccm mwaka huu mtajibeba HAKUNA ujinga wowote mtafanya sisi wananchi tukawaangalia tu TUTAWAGAWANA NA HAMTOKAA MUAMINI MWAKA HUU
 
Acha ujinga wewe! Siheshimu mamlaka za Majizi, Mafisadi, Dhalimu, Waongo, Watekaji, Watesaji, wanaodharau katiba, raia, bunge na mahakama na pia WAUAJI hiyo nakuachia wewe Dr ZWAZWA.
Haya endeleeni na upuuzi huo wa waliowatuma. Mtajuta nyote, nchi yetu si ya kuchezewa chezewa. Ni imara chini ya jasiri JPM.

 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom