mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,180
Dogo Hashim mimi ninamfahamu zaidi wakati alipoimba track moja ya Tunasonga aliimba na MC Kalapinna. Ni mkali sana wa freestyle namheshimu.
Duh!! Umenikumbusha kitambo sana na hii ngoma.Za hivi sina nyingi aisee,
zilipotelea na flash iliingiaga virus nikai flash
Kuna Jingle moja alifanyaga Radio One enzi hizo,Dogo Hashim mimi ninamfahamu zaidi wakati alipoimba track moja ya Tunasonga aliimba na MC Kalapinna. Ni mkali sana wa freestyle namheshimu.
Hiyo Chorus ni Balaa yaani full kama unyamwezini :Why you wanna be test me ,im trynna stay same and who remain??Trillion hizi hzi za CAG, lol!!!
Chorus ambayo ilinishindaga ni hiyo ya "Shadow of The Dark Destiny",
hadi leo sijuagi hata hua anasemaga nini
Na Aboubakar Sadik, kisha unasikia the hiiiiiit yeaiyeeeeeeKuna Jingle moja alifanyaga Radio One enzi hizo,
Saa nane tuko nyumbani,
Kuchabo Radio One,
......
songa mkuuAfande atabaki kua Sele ila mfalme ni Hasheem dogo....
Sikumbuki ni line ya nani ilikua inasond hivyo
kweny umiza ndonga yupo songa na nikki na p the mcAfande atabaki kua Sele ila mfalme ni Hasheem dogo....
Sikumbuki ni line ya nani ilikua inasond hivyo
ni balaaa san jamaa yul kwa kibao km nakupend hiphop duh hatar san na waite polisiMara ya mwisho nilisikiaa ni mwalimu huko Iringa baada ya kuhitimu Tumain
Poa mkuu nashukuru kwakunikumbushakweny umiza ndonga yupo songa na nikki na p the mc
Ngoma unayo utume na humu?Trillion hizi hzi za CAG, lol!!!
Chorus ambayo ilinishindaga ni hiyo ya "Shadow of The Dark Destiny",
hadi leo sijuagi hata hua anasemaga nini
Yah lilikua tangazo la Dj show by abubakar sadick kwa fujoKuna Jingle moja alifanyaga Radio One enzi hizo,
Saa nane tuko nyumbani,
Kuchabo Radio One,
......
Weka kazi yake hapa tumpimeHashim Dogo Atabaki Kua na Heshima Kwenye Hii Game Tanzania
Mkuu taarifa yako si sahihi. Hapo kwenye kuishi Upanga, ghorofa (flat) la madaktari umechanganya habari!Hashim alitoa nyimbo moja tu iliyovuma...namfahamu huyu vzr tumekuwa pamoja maeneo ya Upanga alikuwa anakaa mtaa wa Lugalo kwny magorofa ya madaktari halaf akahamia Ilala
Kuna SAA za kazi akiwa na Afro Reign.Hivi tuwage wakweli tu, huyo Hashim Dogo ukiacha hizo nyimbo 'Shadow of the dark destiny' na 'Tunasonga' alioshirikiana na Pina ana wimbo gani mwingine wa maana kiasi cha kumpaisha hivyo? Mi nikiwaambiaga watu wanaomtukuza huyu mtu wanitumie nyimbo zake nyingine hawatumi wanaishia kusema blaablaa tu. Haya naombeni mnitajie nyimbo nyingine Kali za huyu jamaa ukiacha hizo mbili
overrated.View attachment 739483
Hashimu Dogo ameacha muziki lakini bado watu wanamuhitaji, tofauti na wasanii wengine wengi wapo kwenye game lakini hawana attention kama yeye.
Nimekutana naye Msasani leo Ustadhi Hashim, hataki tena kufanya muziki. Yeye kwa sasa amekuwa ustadhi swala tano!
kaikomboa mitaa ipi?Hahaa!!!!!! Ndo maana nikasema wewe hujui hiphop ni nini, kwenye hiphop huwa hatuangalii msanii kuvuma ila huwa tunaangalia knowldge na mchango wake katika kuikomboa mitaa
Labda Duke Tachez atamuuliza Dogo kisha atwambie alikua anasemajeHiyo Chorus ni Balaa yaani full kama unyamwezini :Why you wanna be test me ,im trynna stay same and who remain??