- Thread starter
- #61
Bila kujua falsafa ya Kasanga & Kambona na wangineo waliompa.ushauri mwalimu kuhusu namna ya kuijenga Tanganyika mpya; basi hata wewe utasema jamaa walikuwa ni wahaini tu sababu hujui content za maudhui yao.Da ila me simlaumu ticha wala katumbo...ukichungulia upande wa mwalimu unaweza kuta alilinda maslahi yake na taifa letu changa la tanganyika!
Katumbo nae anaweza akawa alikua na maono yake ambayo nyerere aliona yatamuatarishia uongozi wa taifa na sifa zote alizo jikusanyia yeye kama kiongozi wa taifa.
Siwezi kumchukia Mwl. Katika maisha yangu kwani mwarimu alinikomboa na kuwa huru mungu amesha wapatanisha wazee wetu huko walipo.
Jiulize toka 1961 hadi 1985 je taifa limesogea juu ya wale maadui watatu ( Ujinga, Maradhi na Umaskini)? Je toka 1985 hadi 2018 taifa limesogea kuwamaliza maadui hawa? Kushangilia ununuzi wa ndege moja kama sikukuu ya kitaifa; is that you call it nation achievement.