Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,331
- 45,633
HakikaDa ila me simlaumu ticha wala katumbo. Ukichungulia upande wa mwalimu unaweza kuta alilinda maslahi yake na taifa letu changa la tanganyika!
Katumbo nae anaweza akawa alikua na maono yake ambayo nyerere aliona yatamuatarishia uongozi wa taifa na sifa zote alizo jikusanyia yeye kama kiongozi wa taifa.
Siwezi kumchukia Mwl. Katika maisha yangu kwani mwarimu alinikomboa na kuwa huru mungu amesha wapatanisha wazee wetu huko walipo.