theki
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,722
- 585
Siyo mdoko wako wa mamamkubwa kule kwenu iringa.[/QUO
Hapo ni mdoko au Mdogo?
Siyo mdoko wako wa mamamkubwa kule kwenu iringa.[/QUO
Hapo ni mdoko au Mdogo?
!
!
kama mariam nnauye aliambiwa asifanye hivi yeye akakaidi,akaona yeye ni imara zaidi,jeuri zaidi atapigwa tu....na mimi nasema mpige tu maana hamna namna,lazima tukubaliane mapenzi ya kinnauyennauye hayana nafasi
Hivi mapenzi gani yapo pale mtu anaweza kunyanyua mkono na kumpiga mpenziwe! Mkishindwana si muachane kwa usalama. Vijana tubadirike.
Khaleed Mohamed 'TID' na Mariam Nnauye
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake, Mariam Nnauye
hahahahhaha Mentor unakumbuka incidence moja at Bunge alimchana mwenzie na kiwembe shavuni?
Stunna, unayo number ya huyu dada nikampe 'Pole'?
Namjua sana huyu binti