Huyu ndiye atakayeivusha Tanzania kwa Kasi zaidi

Serikali ambayo inakimbia jukumu la kuwa mdau nambari moja katika viwanda na kuweka sera mbadala itakayo mfanya mtanzania awajibike katika kuendesha viwanda.

Huku ikiachia wawekezaji kutoka nje ni njia moja wapo ya watanzania kuto faidi matunda ya nchi yao .
Lengo lao likiwa ni kutaka kuwa ridhisha wananchi wawapigie kura bila kuangalia madhara ya muda mrefu hii ni hatari sana
Well said mr mzalendo
 
Tatizo wanasiasa wengi huongea kwa midomo na matumbo yao badala ya midomo na mioyo yao!.Akili zao hufuata amri za tumbo kuliko za mioyo yao.
Naamini kuna siku huyo mtu atazaliwa!

Ukitaka kummulika nyoka anzia miguuni mwako kwanza juu ya ubora wa Rais anza na baba yako kwanza je, alikufanyia yote uliyotamani licha kuwa alikuwa na raslimali kubwa ya uhai bila magonjwa kama hakufanya hivyo koma kabisa kumkashifu Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
 
Ukitaka kummulika nyoka anzia miguuni mwako kwanza juu ya ubora wa Rais anza na baba yako kwanza je, alikufanyia yote uliyotamani licha kuwa alikuwa na raslimali kubwa ya uhai bila magonjwa kama hakufanya hivyo koma kabisa kumkashifu Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Baba yangu alinifanyia yote aliyo ahidi na zaidi,hakuwahi kuniongopea ili nimpende,hilo moja
Pili,rais Magufuli ni mwanasiasa,tena wa Tanzania! Ahadi zake sawa tu na za wenzake. Not so special kwenye ahadi na siasa zake,hilo la pili!!
Tatu,ni kukutaka uache kuwashwa maana hamna mahali nimemkashifu mh.Rais Magufuli personally.Bahati mbaya ni kuwa Magufuli ni rais wangu na pia ni rais wa v.ilaza kama wewe.
 
Mtu wa kuongoza nchi bila salfasa ya vyama lazima asiwe ametokana na chama, usijidanganye leo ikatokea mgombea wa upinzani akashinda urais, ataongoza bila kufuata mrengo wa chama chake.

Labda itokee, kuwe na mgombea binafsi pengine huyo, lakini yu wapi mtanzania mwenye uwezo kwa Pesa yake kuzunguka nchi hii kukampeni akishindana na vyama? Na hata akishinda anawezaje kulishawishi bunge lisipige kura ya kutokuwa na imani nae?

Serikali bila uhusika wa chama cha siasa ndugu yangu utasubiri sana
 
Swali la kujiuliza je kuna wiano wa mda,kiasi cha maendeleo kilichofikiwa na raslimali zilizokwishatumika Tanzania mpaka sasa?

Jibu ni hapana.
Vitu hivi havina wiano kwa kuzingatia kiwango cha maendeleo na Kasi mpaka sasa hivilizishi huku kukiwa tayari raslimali nyingi zimekwisha tumika. Mfano elimu bado ni duni, huduma za afya ni duni, huduma za maji na umeme ni duni, barabara na reli ni duni.
Kwa hiyo unaweza kusema kila sehemu ni kama tumejalibu tu ila kuna kiasi kikubwa cha uduni pia umaskini bado upo kwa kiasi kikubwa sana.

Atakayeivusha Tanzania anapaswa kufanya yafatayo;
1. Tanzania itumie raslimali zake kwa maslahi ya watanzania wote.
2. Asimamie nchi pasipo kujali vyama au chama atokacho mtu katika kushughulikiwa na sheria
3. Aimalishe tasisi na sheria
4. Akubali mjadala huru wa kimaendeleo juu ya nchi
5. Siasa safi na utawala bora
6. Maadili kwa viongozi wa umma
Wakati Watanzania we had a choice to choose from, kuna wengine wetu tulileta maangalizo yafuatayo
Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision ....
Hivi Kweli Kuna Mtanzania, Mwenye Akili Zake Timamu, Anaweza...
[URL='https://www.jamiiforums.com/threads/ikitokea-ccm-ishinde-je-ushindi-huo-ni-kutokana-kuwekeza-kwenye-maendeleo-au-kwenye-ignorance.916388/']Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye .
..

Pasco
[/URL]
 
Back
Top Bottom