Wasifu wa Ally Salum Hapi

Pamoja na kuwa ni mtumishi wa magamba, kuna kitu kimenivutia kwenye historia yake.
Jamaa alitoka shule ya Tech O-level, akasoma HKL Advance including History ambayo hakuwahi soma O level lakini bado akasukumia mabanda mawili na B moja, yaani div 1 point 4. Basi jamaa ni mkali sana!

Jamaa alikuwa kichwa class
 
Namkumbuka salum anatudanganya tuandamane kwenda kwenye ofisi ya DARUSO kumng'oa kipara..
kwakweli huyu jamaa atakama anajenga hoja ya kitapeli utamkubali.. yaani tulikuja kubaini utapeli wake baada ya kipara kujitokeza na kujibu kila kitu..tokea siku hiyo Salum alipotea vibaya sana..
 
Ni kweli mkuu, Hakusoma HISTORY subject,

kwani ukiwa Technical school unasoma masomo ya ufundi pamoja na
-Mathematics, Chemistry,Geography, Biology, Engineering Science "Physics",English, Kiswahili, na Civics!!

Sasa sijui ni kwa vigezo vipi alienda high school kusoma HKL.
A level private school, cha msingi huwa ni credit 3 haijalishi za masomo gani. Then unachagua combination unayotaka
 
Ingawa CV yake imekaa kitapeli tapeli ila ni kichwa. Kwa siasa za CCM atapiga sana bao kwenye UDC na anaweza kumfunika Makonda kwa kuwa ana akili kuliko Makonda ingawa Makonda ni mtu wa kujishusha zaidi
 
Nilivyokuwa namuona akikomaa REVSQR nikadhani atakuja kuwa mpinzani na wenzake. aliiona hii fursa kitambo.
Ujasiri,Uthubutu na Public Speaking and persuasion yuko vizuri labda upande wa maadali kitu kinachorekebishika.

His career path shows he is intellectually Smart. Use that for creative,Inovative and productive moves to transform your district.

Kila la Kheri.
 
Ally Salum Hapi, CCM, Wa Tabora na mpenda short cut, kila kitu kipo pema kabisa.

Infact kwa dini yake na hiyo tabia ana kila sababu ya kufaulu na kwenda mbali sana kisiasa.

Wa Tabora mwenzangu, changamka ule mapema maana ikifika mwaka 2015 unaweza ujikute huna pa kwenda.

Sasa Mwana sheria mzima anajipendekeza, si ndiyo hawa anawasakama Mchungaji Msigwa?


Dini yake inaingiaje hapo?
 
ww mtoa mada acha unafiki....unapotoa maelezo toa na hint...ushahidi sio unapayuka tu unang'ang'aniiiiiiiiia mara mwaka huu mara mwake ule kachukua hela.alivyoenda kuchukua hela mlikuwa wote?hadi ukaona au weka ushahidi .....physical evidence.jenga hoja acha kupotosha watu kama siasa huijui uliza ama kaa kimya
 
safi sana kijana, ila uje na mawazo mapya (boresha kinondoni hasa kuondoa tatizo la uchafu)
 
Namkumbuka salum anatudanganya tuandamane kwenda kwenye ofisi ya DARUSO kumng'oa kipara..
kwakweli huyu jamaa atakama anajenga hoja ya kitapeli utamkubali.. yaani tulikuja kubaini utapeli wake baada ya kipara kujitokeza na kujibu kila kitu..tokea siku hiyo Salum alipotea vibaya sana..
Hahahahhaaaaa huyu ndio yule Salum
Nakumbuka siasa za revolution square. Nilikuwa sina muda na upuuzi wa wale vijana kwa kweli.

Sijui hawakuwa na lectures na seminars maana kutwa ni kupiga soga pale. Nikienda kula Manzese au Harvard nikirudi wapo, nikiwa nahama venue wapo.

Ila hata uwe pumbavu kiasi gani, kuna siku Mungu atakushushia bahati yako.
Hata punda hana elimu, lakini anapata kazi huku umasaini kwetu, Dodoma analiwa kama kitoweo
 
Kwa CCM iliyopo sasa huyu ndiye anaye wafaa sana, maana anahistoria nzuri sana ya rushwa, ufisadi na fitina, vitu ambavyo ndio ''Operating System'' ya CCM kwa sasa.

Na kwa kuwa anafadhiliwa na mtoto wa Sultani(Ridhwani) basi uwezekano wa kushinda ni mkubwa sana.

Najua huyu Hapi anaungwa mkono na kundi la urais la USULTANI(Membe group) akipambana na Paul Makonda Kutoka kundi la urais la ZILIPENDWA(Sitta group). Bado sijajua mgombea wa kundi la UFISADI (Lowassa group) ni nani.

Ni mambo yaliyo wazi sana kuwa hakuna lolote la maana kwenye uchaguzi wa UVCCM zaidi ya kupigana viti(Mara), kushinikiza kupewa chai(Morogoro), kuhamasishwa kuvuta bangi(Mara), Fujo na matusi(Dar), Kuhongwa chai na vitumbua(Nzega), Maombolezo ya kifo cha CCM(Tanga) nk.
Mkuu ulipata kusema haya.
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom