kama ni huyu ni kweli anafaa ndani ya CCM, lakini hafai kutumika kwa nafasi yoyote ile kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa TZ lakini mimi huyu nimesoma nae pale UDSM kwanza ni mnafiki Mkubwa ambaye aliweza kununuliwa na kuingia magamba toka CDM,
Huyu ndiye yule aliyezomewa wakati wa Jukwaa la katiba na akawa anagoma kutoa kapaza sauti kwa mchangiaji mwingine na Wanafunzi wa UDSM Kwa sababu ya kuwasaliti alipokuwa UD
huyu ailiwahai kushindwa uenyekiti wa wanafunzi kitivo cha sheria kutokana na kujifanya kwake na usaliti wake kuwachongea wanafunzi wengine na kueleza mikakati yao utawala ili wachukuliwe hatua
huyu ndiye wakati wa mgomo wa madaktari alijifanya ni mpaenda amani kwa kuanza kuwashutumu madakatari bila kuanza kujiuliza chanzo cha tatizo.
NARUDIA NI KIONGOZI MZURINDANI YA CCM NA ANASTAHILI NA HADHI ANAYO KUWA WA SEHEMU HIYO ALIYOPO KUTOKANA NA TABIA YAKE
Huyu ndiye yule aliyezomewa wakati wa Jukwaa la katiba na akawa anagoma kutoa kapaza sauti kwa mchangiaji mwingine na Wanafunzi wa UDSM Kwa sababu ya kuwasaliti alipokuwa UD
huyu ailiwahai kushindwa uenyekiti wa wanafunzi kitivo cha sheria kutokana na kujifanya kwake na usaliti wake kuwachongea wanafunzi wengine na kueleza mikakati yao utawala ili wachukuliwe hatua
huyu ndiye wakati wa mgomo wa madaktari alijifanya ni mpaenda amani kwa kuanza kuwashutumu madakatari bila kuanza kujiuliza chanzo cha tatizo.
NARUDIA NI KIONGOZI MZURINDANI YA CCM NA ANASTAHILI NA HADHI ANAYO KUWA WA SEHEMU HIYO ALIYOPO KUTOKANA NA TABIA YAKE