Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,017
- 1,885
Kwa kifupi amelirudisha taifa nyuma mara mia moja, ameacha mikosi na mabalaa ya kila ainaTuache unafiki, ametuachia Ukabila, ametuchia chuki, ametuachia deni kubwa sana la Haifa, ametuachia umaskini uliotamalaki. Alikua na mema machache