Dada samahani kama nitakukwanza ila umetaja neno mungu kwa herufi ndogo sana hilo jina pendwa sasa sijui umejiapia mungu yupi? Maana kuna Mungu jina pendwa na mungu bahari au miti, au milima.
Kwa maelezo yako tu nimegundua hakuna mwanaume mwenye hizo sifa ataamua kupotea njia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo yako tu nimegundua hakuna mwanaume mwenye hizo sifa ataamua kupotea njia.
Sent using Jamii Forums mobile app