UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,522
- 1,363
Kabisa na ndio @Generalist yupo vizuri kuziudumia ID tatu......
Kabisa na ndio @Generalist yupo vizuri kuziudumia ID tatu......
Ha ha haaa pole Mama kaa kwa kutulia Mshana JrBoss wako labda
Ha haaaa haaa kazi kweli mtu mmoja Id tatu ....tabia za vijana wa lumumba hizi wanapenda kiki za kijingaKabisa na ndio @Generalist yupo vizuri kuziudumia ID tatu......
Mkuu umeona mbali Sana anaonekana ana hasira na Mshana Jr Hadi anashindwa kujizuia..Utakua ushaliwa si bure
Ndio kwani kuna tatizo?Utakua ushaliwa si bure
Ulitaka nimhusudu huyo kiumbe sio?Mkuu umeona mbali Sana anaonekana ana hasira na Mshana Jr Hadi anashindwa kujizuia..
Ukitaka huone ugomvi wao waambie nyie n mtu mmojaHa haaaa haaa kazi kweli mtu mmoja Id tatu ....tabia za vijana wa lumumba hizi wanapenda kiki za kijinga
Ha ha Haaa Asante Bosi wangu KingKongCase Closed unafaa sana kwenye Forensic Investigation.
Ha ha Haaa najaribu kuufikia uwezo wa Akili ya kesho Genta,Ila sitoweza kufikia vipaji vyake.Simply genius analysis.
Matusi yake sio ya nchii hii na hakubali kushindwaHa ha Haaa najaribu kuufikia uwezo wa Ajili ya kesho Genta,Ila sitoweza kufikia vipaji vyake.
Sasa muhaho ni wa nini?Ndio kwani kuna tatizo?
OK just take your timeSasa muhaho ni wa nini?
We jamaa ni akili kubwa sana kumbe jamaa limeanzisha nyuzi kujisifia.Yaani umejamba afu ukajifunika shukaGentamycine Ni mtu Mwenye hasira za haraka,
Anatukana hovyo akichalenjiwa,
Anapenda kujisifu Sana,
Kwa maneno kama hayo uloyatumia kumsifu,
Angalia mada zake kadhaa utakuta maneno kama charismatic,akili kubwa,game changer na maneno kama akili ya kesho.
Hupenda Sana kujiita Yeye Ni Mnyarwanda,hupenda kuwasifu Waisrael kwa akili,na,kuwafananisha wanyarwanda kuwa Wana akili kama Waisrael.
Gentamycine huwapenda Waisrael,na hata avater yake kaweka picha ya Benjamin Netanyahu ambae Ni PM was Israel.
Lakini pia Israel Kuna vyama vya Siasa kadhaa,kimoja kinaitwa Kadima party na kingine kinaitwa Likud party ambalo ndio jina lako wewe mtoa mada ambae umeleta mada "ILIYOTUKUKA" juu ya
Akili kubwa Gentamycine.
Hallelujah!
Na wewe ni mpiga debe wake na unaongoza pia kwa kupiga debe, eti?Tunabishana na washikaji eti ni member yupi wa Jf anaongoza Kwa kukotiwa hapa jamvini kila akianzisha thread?
Mimi Kwa maoni yangu nasema memba WA Jf anae ongoza Kwa kukotiwa hapa jamvini ni mtaalamu wa kuandika nyuzi zilizo chambuliwa na kudadavuliwa kitaalamu ambae si mwingine bali MTU mzima GENTAMYCINE the charismatic and the game changer , the akili kubwa, the akili ya Kesho, you name it.
Huyu mkuu ndio anaongoza Kwa kukotiwa hapa Jf.
Jamaa kila akianzisha Uzi lazima akotiwe zaidi ya mara arobaini.
Memba gani mwingine hapa Jf unadhani anaweza kuwa anakotiwa kama GENTAMYCINE?
Tiririka