Huyu ndio mpenzi mpya wa Penny

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,379
Baada ya kuachana na Diamond Platnumz, Peniel Mwingila aka Vj Penny ameendelea mbele na maisha yake, lakini amekanusha kuwa na mpenzi mpya kama ambavyo wengi wamekuwa wakidhani hasa wanapomuona yuko karibu na mwanaume mwingine.

Leo Penny ameamua kuvunja ukimya wake na kukanusha habari zilizoenezwa katika mitandao ya kijamii kuwa ana mpenzi mpya aitwaye Rummy, hiki ndicho alichokiandika: "Ah come on people!!?? Kweli mi ni mkimya ila sasa mnavuka mipaka, seriously?? Am so disappointed to see posts that Rummy is my new boyfriend..mnatoa wapi hizi rumours?

Just because sijibu shutuma natupiwaga haimanishi mimi sio binadamu kila siku mnanizushia mapya its not funny maisha yangu kutwa mnayafanya
uwanja wa kutunga kitu, yes mnatukana na hakuna tusi jipya nawaacha ili mjifurahishe but now u r crossing the line, I have alot of respect for Rummy he is my homeboy na marafiki pia wa kiume nisiwe nao? Wengi wanajua rummy ni nani yangu ila making these stories aint cool at all.

Enough has a limit! Nitukaneni all u want ila msinisingizie vitu sijafanya its just not fair at all. Kama new boyfriend ntaweka mwenyewe
mapenzi hayajifichi ila tusizushiane uongo, nayavumilia mengi ila hili too much."



attachment.php
 
Jamaa alipewa vidonge vyake IG....teh watu wana habari za watu duh

Dah mi alinifuraishat tu eti jamaa yeye kila mtu anamtongoza hata mbuzi ye anatongoza, dah teamukwel ana maneno ya ajabu sana yule
 
Dah mi alinifuraishat tu eti jamaa yeye kila mtu anamtongoza hata mbuzi ye anatongoza, dah teamukwel ana maneno ya ajabu sana yule

"Anatongoza kila mtu akikutongoza usijione beyonce, jamaa anayongoza hadi mbuzi kwako atashindwa nini"
ha ha ha ha nilicheka kwakweli...
 
Naona kajitahid kukana kwa nguvu zote, huyu dada hanaga mda wa kujibizana ovyo na watu mitandaoni,naona hii imemkera sana kashindwa vumilia

huyo ndo demu pekee wa mjini ambaye mabwana zake wanaojulikana kimjinimjini hana mbabu mzee!wote ni wa age yake na si wengi!aliweza kudumu na kavila ambaye ni mdogo kiumri na walidumu sana kabla hajadondokea kwa diamond ikiwa ni kisasi cha kavila kutoka na wema sepetu.....anakazwa kibingwa si kama vicheche wengine
 
huyo ndo demu pekee wa mjini ambaye mabwana zake wanaojulikana kimjinimjini hana mbabu mzee!wote ni wa age yake na si wengi!aliweza kudumu na kavila ambaye ni mdogo kiumri na walidumu sana kabla hajadondokea kwa diamond ikiwa ni kisasi cha kavila kutoka na wema sepetu.....anakazwa kibingwa si kama vicheche wengine

hahaha eti anakazwa kibingwa kukazwa ni kukazwa tu
 
hahaha eti anakazwa kibingwa kukazwa ni kukazwa tu

kukazwa kukazwa mwana nakubali ila hapo nimemfananisha na wema!wema anaachia sana halafu ile waziwazi!......unaamini anavyokazwa wema na demu wako anakazwa hivyohivyo?demu wako lazima akazwe kibingwa kukulindia heshima
 
kukazwa kukazwa mwana nakubali ila hapo nimemfananisha na wema!wema anaachia sana halafu ile waziwazi!......unaamini anavyokazwa wema na demu wako anakazwa hivyohivyo?demu wako lazima akazwe kibingwa kukulindia heshima

Ila wema anaachia waziii kwa hiyo ni jamvi la wageniu etii
 
Huyu Rummy ni nani ni mwanamziki au halaf kafanana na TI wa mamtoni
 
kukazwa kukazwa mwana nakubali ila hapo nimemfananisha na wema!wema anaachia sana halafu ile waziwazi!......unaamini anavyokazwa wema na demu wako anakazwa hivyohivyo?demu wako lazima akazwe kibingwa kukulindia heshima

Ngoja vibaraka wa wema wakusikie unamsema boss wao

Cc: Dinazarde
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom