Huyu ndio "kijana" wa Dr Mwakyembe,aliyemsaidia 99% katika vita ya madawa ya kulevya

toa upuuzi hapa kama Dr.mwakyembe ni MTU safi kwani asiujiudhuru. au kwanini asijitoe kwernye chama fisadi?? na Je? kwanini anakubali nafasi za uteuzi?? kwenye serlikari ovu??
Tena kinachoshangaza siku zote ishu za ulalamikaji kwenye media ni za wananchi wa kawaida sio mtu km waziri mwenye dhamana anapolalama kwenye media naona km anaandaa attetion ya kulazimisha ukweli uwe uongo na uongo uwe kweli na siku zote tunajua uongo ukizoeshwa saana masikioni mwa watu hufikia hatua watu kuona ni ukweli.
Na haya yanatokea tu kwa kuwa eti utawala uliopita ilikuwa na mapungufu basi watu wanatake advantage ya kuyaharamisha hata yale yalokawa halali eg. Yule mana wa Tanga anaedai mali za familia na kwenda kujiliza kwa Jpm ila kiukweli c mrithi sahihi.
Ninachokiamini mimi mtu km huamini ktk yanayofanyiwa ktk tawala husika huna budi kujiuzuru km alivyokafanya lowasa km hujajiuzuru hatutakuamini kwa lolote kwetu tutakuita MNAFIQ
Au ndo unakamata 6 unapitisha 3.
Tuache movie liendelee hadi sasa sijamjua Starling.
 
Sijawahi kumwamini Dr Mwakyembe hata siku moja, ni waziri ambaye amekua akigeuza geuza maneno sana.Kama aliwahi kukana maandiko yake ni linitamkubali?

Ndiyo ni Kweli kipindi cha JK magendo na unga vilitamalaki sana pale JNIA,asitake kumchafua JK bure yeye alihamishwa wizara kwa kushindwa kuzuia kupitia kwa mzigo hiyo.
 
Tunachosema udadisi au utafiti wako ulifanya upande mmoja tu (wa wanaomshikilia huyo kijana gerezani). Udadisi/ utafiti wako huo ulitakiwa ufanyike pia upande wa pili ( wa wakina Mwakyembe) unaoona kuwa kijana huyo kaonewa kushikiliwa gerezani. Kwa kufanya hivyo habari yako ingekuwa balanced. Tunachosema ni kuwa habari yo yote ambayo haiko balanced, hata kama ni nzuri kiasi gani na ina mvuto kiasi gani, inabaki kuwa ni majungu au udaku kwa kiswahili cha sasa.

Sasa ulitaka balanced na wewe si uanzishe UZi uandike unachokijua?
Yeye kafanya utafiti wa anachokijua na wewe tuletee unachokijua.
 
Tunachosema udadisi au utafiti wako ulifanya upande mmoja tu (wa wanaomshikilia huyo kijana gerezani). Udadisi/ utafiti wako huo ulitakiwa ufanyike pia upande wa pili ( wa wakina Mwakyembe) unaoona kuwa kijana huyo kaonewa kushikiliwa gerezani. Kwa kufanya hivyo habari yako ingekuwa balanced. Tunachosema ni kuwa habari yo yote ambayo haiko balanced, hata kama ni nzuri kiasi gani na ina mvuto kiasi gani, inabaki kuwa ni majungu au udaku kwa kiswahili cha sasa.
Dr mimi nimekuletea upande wa pili,baada ya upande wa kwanza wa Mwakyembe kukwambia anaonewa,kwa hiyo kila mtu alikuwa na idea hiyo kuwa huyu "kaonewa",hakuna aliyekuwa anajua hasa kama kuna sbb iliyonasibishwa nae mpaka akatiwa ndani,baada ya hapa sasa,ndio tutasubiri mahakama na juhudi za Dr Mwakyembe kuonyesha ni jinsi gani anaonewa

Unashangaza unaposema nilete upande wa pili,upande huo ni upi?wakati anayeujua ni Mwakyembe?Mimi nimeleta ule upande ambao ulikuwa haujulikani ili kubalance story,sasa ni jukumu la hao wengine kuweka ukweli wa kwanini anaonewa.

Hayo mambo ya udaku na kadhalika,sidhani kama nitajatazama toka kwako!Maanaa si maneno ya "kidokta"
 
View attachment 472029
View attachment 472030

Juzi kati Waziri wa Katiba na Sheria Dr.Mwakyembe alisikika kupitia kipindi kimoja cha "East Africa Tv/Radio" akilalamika jinsi alivyomshindwa Masogange katika vita vya madawa ya kulevya.Dr Mwakyembe anasema hata baada ya ushahidi wote kuonyesha kuwa "mzigo" ulipitishwa hapa Dsm kuelekea J'burg,lakini bado Masogange alimponyoka.

Anasema,baada ya muda,alihamishwa ktk Wizara hiyo na kupelekwa sehemu nyingine,kitu kilichomfanya ashindwe kuendeleza harakati za vita hiyo.Sisi tutamuamini Dr kwa yale anayoyasema,wengi wanaomfahamu wanasita kumuamini.

Lakini haya yote,hayaondoi ukweli kuwa,Dr Mwakyembe,daktari wa sheria,mwanazuoni,wakili,Waziri na Mbunge wa Jimbo la Kyela,alielemewa na Masogange mpaka akawa anamletea "nyodo".

Mjadala mkubwa aliouibua Dr Mwakyembe,ni huyo "kijana" wake aliyekuwa "anamsaidia" katika vita hivi,bahati nzuri au mbaya,licha ya kusema "kijana" wake anatakiwa alindwe huko gerezani,bado Dr aliamua kumtaja kwa jina moja la JINGU,hivyo aliotoa mwanya wa kudadisi;Huyo "kijana wake Jingu ni nani haswa?"

Dr Mwakyembe hajasema huyo "kijana" wake alifungwa kwa kosa gani hasa,yeye kama mwanasheria na waziri,ametumia njia gani za kisheria kuhakikisha huyo "kijana" wake anatoka huko gerezani?Na je Mwakyembe ana uhakika kuwa huyo "kijana" wake aliomsaidia kwa 99% ni kweli yupo huko gerezani kwa "kubambikiwa" au ni stahili yake.

Na je,kukamatwa kwake huyo "kijana" kuna uhusiano wowote na "msaada" kwa Dr Mwakyembe?Au kukamatwa kwake "kunahusishwa" tu,lakini kuna jambo lingine tofauti na "msaada" huo kwa Dr?

Clemence Jingu Mbaruck (bila shaka ndio huyu "kijana" wa Dr Mwakyembe) alikuwa Meneja wa Usalama (Manager Security) wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania.Alihudumu kwa nafasi andamizi kabla ya cheo hicho katika kitengo cha Usalama katika uwanja wa Julius Nyerere kwa muda mrefu.

Kwa maelezo ya Kamishna Rogers Sianga,moja ya mbinu kubwa ya "drug lords" ni ku-recruit watu ktk kila kitengo wanachopita ili iwe rahisi kwao kupitisha mizigo yao,kitengo cha usalama ktk viwanja vya ndege,ni moja ya "waajiliwa" wa mitandao hii.Hivyo hawa huwa na "details" za lini,saa ngapi,nani,na ndege gani itapitisha mzigo kuingia au kutoka nje ya nchi.

July 2015,mzigo wa kilo 262 wa pembe za ndovu ambao ni sawa na tembo 50 ulikamatwa katika uwanja wa ndege wa Zurich Uswis,ukiwa umetoka Dsm kuelekea China.

Mzigo huo ulikamatwa ukiwa ndani ya begi za raia wa China.Begi hizo zilipita bila kuonekana Tanzania, iwe kwa macho au kwa "Screening machine".
Soma Nyara za Serikali zawafikisha kizimbani Maafisa 4 wa TAA

Watuhumiwa wanne ambao ni wafanyakazi wa Kitengo cha Usalama wakiwemo wanajeshi watatu wa JWTZ (ambao huwa wapo attached ktk kitengo cha usalama wa kiwanja) na Manager Security Jingu walitiwa kizuizini kwa tuhuma za kuhisika kufanikisha mzigo huo kupita bila kukamatwa.

Clemence Jingu (kijana wa Mwakyembe) na wenzake waliwekwa mahabusu kwa tuhuma ya Uhujumu uchumi,na kesi yao kusomwa mahakama ya Kisutu na baadae kurudishwa rumande sbb kesi hii haina dhamana.

Mpaka leo,Jingu yupo ndani akiendelea kusota kutokana na kesi hii.Ni kesi inayotambulika kama ya "Uhujumu Uchumi" ambayo haina dhamana.Kukamatwa kwa Jingu kulitokana na nafasi yake kama "Manager Security" ambaye inaonekana (sababu mahakama haijathibitisha) alishiriki kufanikisha mzigo huo kupita bila kizuizi.

Huwezi kupita na mzigo wa kilo 262 wa meno ya tembo bila kuonekana kwa macho wala kwa mashine.Ni lazima uwe na mtandao wa maana utakaorambishwa "asali".Mtandao huu wa kuramba "asali" hauishii kwa "security officers" wanaokagua mizigo magetini tu,ni lazima ufike mpaka kwa "boss".Na pengine swali lilikuwa,"mzigo mkubwa kama huu unaweza kupita bila Manager Security kujua?"

Leo Dr Mwakyembe,wakili,Waziri na Mbunge,bila kujali usiri wa taarifa za mtoa taarifa kaamua kututajia hadharani mtu aliyekuwa anamsaidia kwa 99%.Tena kwa kumtaja ktk chombo cha habari.Lakini sidhani kama amejiridhisha kuwa kuwekwa ndani kwa "mtoa taarifa" wake ni kweli kwa sbb ya vita ya madawa ya kulevya?

Na hata kama ni hivyo,Je Dr hana namna ya kisheria iwe kwa kumuwekea mawakili au msaada wowote wa kisheria kuhakikisha "kijana" wake anatoka!?Na ana uhakika kuwekwa ndani kwa Jingu ni sbb ya "uadui wa kutoa ushirikiano wa 99%?".

Zaidi ya hapo,Dr ametuonyesha kuwa hana "kifua",inawezakana huyo "kijana" wake alikuwa anampa habari hizo sbb ni Waziri na bosi wake,sasa inakuwaje leo aamue kutaja chanzo chake cha habari kwa jina na mahali alipo?Alipoamua kumtaja Jingu hadharani,alitupa nafasi ya kudadisi;huyo Jingu "kijana" wa Mwakyembe ni nani?

Leo Masogange na washirika wake na wote waliokamatwa enzi za Mwakyembe kupitia uwanja wa JNIA,wanajua Jingu ndio aliowachoma.Hali hii ya kukosa "kifua" cha kutunza siri unazopewa ktk uwajibikaji,haiwezi kuwakatisha tamaa maafisa wengine wa JNIA katika vita hivi vya sasa?

Maana kwa kauli hii ya Dr,ni wazi kuwa hata maafisa wengine wa usalama JNIA wanaweza kuogopa kutoa taarifa kwa kuhofia siku moja huko mbele ya safari mtu atakuja kutaja chanzo chake cha habari.

Wakati tukimkumbusha Dr Mwakyembe,wakili,mbunge na waziri kufuatilia kwa kina kukaa mahabusu kwa "kijana" wake Jingu kulisababishwa na nini haswaa,pia tumkumbushe kuwa awe na tabia ya kuwa na "kifua".Kifua cha kiume hutunza siri,kifua cha kiume hakiropoki,kifua cha kiume huundwa na mifupa imara ya kustahimili kuhifadhi hata maneno ya kimbea.

Ndio maana,ni nadra sana kukuta wanaume wanasutana kwa maneno ya uwongo na umbea,sababu jadi ya wanaume wa kiafrika ni kukaaa na kufunika siri za jamii na za familia katika kifua.Dr Mwakyembe,zaidi ya udaktari wake,uanazuoni,ubunge na uwaziri;Yeye ni MWANAUME wa kiafrika.


Mkuu umetisha sana
 
Naogopa barafu isije yeyuka siku moja. take care brother usijetwikwa dudu kubwa linaitwa uchochezi.
 
Wewe sio wa kwanza kunitisha mkuu,huko inbox kuna watu wana vitisho,nadhani ningekuwa wa kukimbia,ningekimbia

Umaarufu huwa hauji kwa fake ID,umaarufu huja kwa jina halisi

Mkuu barafu
Usitishike hao wako wengi.Kama watu wangekuwa waoga Leo tusingekuwa na ndege,umeme,simu Hata Hii internet tunayotumia hapa JF Na mambo mengi ya maendeleo.
Asante Kwa mchango wako mkuu
 
Naogopa barafu isije yeyuka siku moja. take care brother usijetwikwa dudu kubwa linaitwa uchochezi.
Hakika!!Uhai na kifo n mtu na ndugu yake!
Usipoishi utakufa,na usipokufa basi utaendelea kuishi.Uzuri ni kuwa hakuna binadamu aliyewahi kuishi milele
 
View attachment 472029
View attachment 472030

Juzi kati Waziri wa Katiba na Sheria Dr.Mwakyembe alisikika kupitia kipindi kimoja cha "East Africa Tv/Radio" akilalamika jinsi alivyomshindwa Masogange katika vita vya madawa ya kulevya.Dr Mwakyembe anasema hata baada ya ushahidi wote kuonyesha kuwa "mzigo" ulipitishwa hapa Dsm kuelekea J'burg,lakini bado Masogange alimponyoka.

Anasema,baada ya muda,alihamishwa ktk Wizara hiyo na kupelekwa sehemu nyingine,kitu kilichomfanya ashindwe kuendeleza harakati za vita hiyo.Sisi tutamuamini Dr kwa yale anayoyasema,wengi wanaomfahamu wanasita kumuamini.

Lakini haya yote,hayaondoi ukweli kuwa,Dr Mwakyembe,daktari wa sheria,mwanazuoni,wakili,Waziri na Mbunge wa Jimbo la Kyela,alielemewa na Masogange mpaka akawa anamletea "nyodo".

Mjadala mkubwa aliouibua Dr Mwakyembe,ni huyo "kijana" wake aliyekuwa "anamsaidia" katika vita hivi,bahati nzuri au mbaya,licha ya kusema "kijana" wake anatakiwa alindwe huko gerezani,bado Dr aliamua kumtaja kwa jina moja la JINGU,hivyo aliotoa mwanya wa kudadisi;Huyo "kijana wake Jingu ni nani haswa?"

Dr Mwakyembe hajasema huyo "kijana" wake alifungwa kwa kosa gani hasa,yeye kama mwanasheria na waziri,ametumia njia gani za kisheria kuhakikisha huyo "kijana" wake anatoka huko gerezani?Na je Mwakyembe ana uhakika kuwa huyo "kijana" wake aliomsaidia kwa 99% ni kweli yupo huko gerezani kwa "kubambikiwa" au ni stahili yake.

Na je,kukamatwa kwake huyo "kijana" kuna uhusiano wowote na "msaada" kwa Dr Mwakyembe?Au kukamatwa kwake "kunahusishwa" tu,lakini kuna jambo lingine tofauti na "msaada" huo kwa Dr?

Clemence Jingu Mbaruck (bila shaka ndio huyu "kijana" wa Dr Mwakyembe) alikuwa Meneja wa Usalama (Manager Security) wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania.Alihudumu kwa nafasi andamizi kabla ya cheo hicho katika kitengo cha Usalama katika uwanja wa Julius Nyerere kwa muda mrefu.

Kwa maelezo ya Kamishna Rogers Sianga,moja ya mbinu kubwa ya "drug lords" ni ku-recruit watu ktk kila kitengo wanachopita ili iwe rahisi kwao kupitisha mizigo yao,kitengo cha usalama ktk viwanja vya ndege,ni moja ya "waajiliwa" wa mitandao hii.Hivyo hawa huwa na "details" za lini,saa ngapi,nani,na ndege gani itapitisha mzigo kuingia au kutoka nje ya nchi.

July 2015,mzigo wa kilo 262 wa pembe za ndovu ambao ni sawa na tembo 50 ulikamatwa katika uwanja wa ndege wa Zurich Uswis,ukiwa umetoka Dsm kuelekea China.

Mzigo huo ulikamatwa ukiwa ndani ya begi za raia wa China.Begi hizo zilipita bila kuonekana Tanzania, iwe kwa macho au kwa "Screening machine".
Soma Nyara za Serikali zawafikisha kizimbani Maafisa 4 wa TAA

Watuhumiwa wanne ambao ni wafanyakazi wa Kitengo cha Usalama wakiwemo wanajeshi watatu wa JWTZ (ambao huwa wapo attached ktk kitengo cha usalama wa kiwanja) na Manager Security Jingu walitiwa kizuizini kwa tuhuma za kuhisika kufanikisha mzigo huo kupita bila kukamatwa.

Clemence Jingu (kijana wa Mwakyembe) na wenzake waliwekwa mahabusu kwa tuhuma ya Uhujumu uchumi,na kesi yao kusomwa mahakama ya Kisutu na baadae kurudishwa rumande sbb kesi hii haina dhamana.

Mpaka leo,Jingu yupo ndani akiendelea kusota kutokana na kesi hii.Ni kesi inayotambulika kama ya "Uhujumu Uchumi" ambayo haina dhamana.Kukamatwa kwa Jingu kulitokana na nafasi yake kama "Manager Security" ambaye inaonekana (sababu mahakama haijathibitisha) alishiriki kufanikisha mzigo huo kupita bila kizuizi.

Huwezi kupita na mzigo wa kilo 262 wa meno ya tembo bila kuonekana kwa macho wala kwa mashine.Ni lazima uwe na mtandao wa maana utakaorambishwa "asali".Mtandao huu wa kuramba "asali" hauishii kwa "security officers" wanaokagua mizigo magetini tu,ni lazima ufike mpaka kwa "boss".Na pengine swali lilikuwa,"mzigo mkubwa kama huu unaweza kupita bila Manager Security kujua?"

Leo Dr Mwakyembe,wakili,Waziri na Mbunge,bila kujali usiri wa taarifa za mtoa taarifa kaamua kututajia hadharani mtu aliyekuwa anamsaidia kwa 99%.Tena kwa kumtaja ktk chombo cha habari.Lakini sidhani kama amejiridhisha kuwa kuwekwa ndani kwa "mtoa taarifa" wake ni kweli kwa sbb ya vita ya madawa ya kulevya?

Na hata kama ni hivyo,Je Dr hana namna ya kisheria iwe kwa kumuwekea mawakili au msaada wowote wa kisheria kuhakikisha "kijana" wake anatoka!?Na ana uhakika kuwekwa ndani kwa Jingu ni sbb ya "uadui wa kutoa ushirikiano wa 99%?".

Zaidi ya hapo,Dr ametuonyesha kuwa hana "kifua",inawezakana huyo "kijana" wake alikuwa anampa habari hizo sbb ni Waziri na bosi wake,sasa inakuwaje leo aamue kutaja chanzo chake cha habari kwa jina na mahali alipo?Alipoamua kumtaja Jingu hadharani,alitupa nafasi ya kudadisi;huyo Jingu "kijana" wa Mwakyembe ni nani?

Leo Masogange na washirika wake na wote waliokamatwa enzi za Mwakyembe kupitia uwanja wa JNIA,wanajua Jingu ndio aliowachoma.Hali hii ya kukosa "kifua" cha kutunza siri unazopewa ktk uwajibikaji,haiwezi kuwakatisha tamaa maafisa wengine wa JNIA katika vita hivi vya sasa?

Maana kwa kauli hii ya Dr,ni wazi kuwa hata maafisa wengine wa usalama JNIA wanaweza kuogopa kutoa taarifa kwa kuhofia siku moja huko mbele ya safari mtu atakuja kutaja chanzo chake cha habari.

Wakati tukimkumbusha Dr Mwakyembe,wakili,mbunge na waziri kufuatilia kwa kina kukaa mahabusu kwa "kijana" wake Jingu kulisababishwa na nini haswaa,pia tumkumbushe kuwa awe na tabia ya kuwa na "kifua".Kifua cha kiume hutunza siri,kifua cha kiume hakiropoki,kifua cha kiume huundwa na mifupa imara ya kustahimili kuhifadhi hata maneno ya kimbea.

Ndio maana,ni nadra sana kukuta wanaume wanasutana kwa maneno ya uwongo na umbea,sababu jadi ya wanaume wa kiafrika ni kukaaa na kufunika siri za jamii na za familia katika kifua.Dr Mwakyembe,zaidi ya udaktari wake,uanazuoni,ubunge na uwaziri;Yeye ni MWANAUME wa kiafrika.
Ukisoma huu uzi vizuri, unaelewa ugumu wa kupambana na "madawa ya kulevya" na uhujumu uchumi "pembe za ndovu, faru, na rasilimali nyinginezo". Ni wazi kuwa haya ni makundi mawili baina yao "watu wa unga na pembe za ndovu & faru" Na haya makundi ni rahisi kuyaspot, kuna kundi lipo nyuma ya watoto wa wakubwa "Utawala uliopita" na kundi jingine "wasaka tonge wengine waliokuwa serikalini" wakijipigia dili zao kivyao lakini sasa linapewa support na kundi la "walioumizwa na uchaguzi wa 2015" hivyo kwa namna nyingine haya makundi hayataki kuona moja linazama huku kukiwa na juhudi za kuokoa lingine. Ni bahati mbaya kwamba hii vita ilipaswa kusafisha wahusika wote lakini kuna watu hawataguswa na ndo ugumu unavyokuja. Ukiona jinsi Wachina walivyojipenyeza nchini, ukaribu wao serikalini (awamu iliyopita) miradi waliyopewa hasa bandari ya Bagamoyo na usitishwaji wa ujenzi wake na ile reli ya SGR, basi unatambua kuna kitu serikali ya awamu ya tano imekiona kwa wachina na imeamua kudeal nao kwa maslahi ya Taifa. Vyovyote iwavyo vita dhidi ya dawa za kulevya haitagusa kundi la wahusika wakubwa upande flan uliokuwa unashirikiana na wachina ila itapunguza na kuondoa walichokitaka wachina huku kwa kiasi flan. Mamlaka itakachokifanya ni kuanzia hapa kuzuia na si kufukia makaburi. Period
 
View attachment 472029
View attachment 472030

Juzi kati Waziri wa Katiba na Sheria Dr.Mwakyembe alisikika kupitia kipindi kimoja cha "East Africa Tv/Radio" akilalamika jinsi alivyomshindwa Masogange katika vita vya madawa ya kulevya.Dr Mwakyembe anasema hata baada ya ushahidi wote kuonyesha kuwa "mzigo" ulipitishwa hapa Dsm kuelekea J'burg,lakini bado Masogange alimponyoka.

Anasema,baada ya muda,alihamishwa ktk Wizara hiyo na kupelekwa sehemu nyingine,kitu kilichomfanya ashindwe kuendeleza harakati za vita hiyo.Sisi tutamuamini Dr kwa yale anayoyasema,wengi wanaomfahamu wanasita kumuamini.

Lakini haya yote,hayaondoi ukweli kuwa,Dr Mwakyembe,daktari wa sheria,mwanazuoni,wakili,Waziri na Mbunge wa Jimbo la Kyela,alielemewa na Masogange mpaka akawa anamletea "nyodo".

Mjadala mkubwa aliouibua Dr Mwakyembe,ni huyo "kijana" wake aliyekuwa "anamsaidia" katika vita hivi,bahati nzuri au mbaya,licha ya kusema "kijana" wake anatakiwa alindwe huko gerezani,bado Dr aliamua kumtaja kwa jina moja la JINGU,hivyo aliotoa mwanya wa kudadisi;Huyo "kijana wake Jingu ni nani haswa?"

Dr Mwakyembe hajasema huyo "kijana" wake alifungwa kwa kosa gani hasa,yeye kama mwanasheria na waziri,ametumia njia gani za kisheria kuhakikisha huyo "kijana" wake anatoka huko gerezani?Na je Mwakyembe ana uhakika kuwa huyo "kijana" wake aliomsaidia kwa 99% ni kweli yupo huko gerezani kwa "kubambikiwa" au ni stahili yake.

Na je,kukamatwa kwake huyo "kijana" kuna uhusiano wowote na "msaada" kwa Dr Mwakyembe?Au kukamatwa kwake "kunahusishwa" tu,lakini kuna jambo lingine tofauti na "msaada" huo kwa Dr?

Clemence Jingu Mbaruck (bila shaka ndio huyu "kijana" wa Dr Mwakyembe) alikuwa Meneja wa Usalama (Manager Security) wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania.Alihudumu kwa nafasi andamizi kabla ya cheo hicho katika kitengo cha Usalama katika uwanja wa Julius Nyerere kwa muda mrefu.

Kwa maelezo ya Kamishna Rogers Sianga,moja ya mbinu kubwa ya "drug lords" ni ku-recruit watu ktk kila kitengo wanachopita ili iwe rahisi kwao kupitisha mizigo yao,kitengo cha usalama ktk viwanja vya ndege,ni moja ya "waajiliwa" wa mitandao hii.Hivyo hawa huwa na "details" za lini,saa ngapi,nani,na ndege gani itapitisha mzigo kuingia au kutoka nje ya nchi.

July 2015,mzigo wa kilo 262 wa pembe za ndovu ambao ni sawa na tembo 50 ulikamatwa katika uwanja wa ndege wa Zurich Uswis,ukiwa umetoka Dsm kuelekea China.

Mzigo huo ulikamatwa ukiwa ndani ya begi za raia wa China.Begi hizo zilipita bila kuonekana Tanzania, iwe kwa macho au kwa "Screening machine".
Soma Nyara za Serikali zawafikisha kizimbani Maafisa 4 wa TAA

Watuhumiwa wanne ambao ni wafanyakazi wa Kitengo cha Usalama wakiwemo wanajeshi watatu wa JWTZ (ambao huwa wapo attached ktk kitengo cha usalama wa kiwanja) na Manager Security Jingu walitiwa kizuizini kwa tuhuma za kuhisika kufanikisha mzigo huo kupita bila kukamatwa.

Clemence Jingu (kijana wa Mwakyembe) na wenzake waliwekwa mahabusu kwa tuhuma ya Uhujumu uchumi,na kesi yao kusomwa mahakama ya Kisutu na baadae kurudishwa rumande sbb kesi hii haina dhamana.

Mpaka leo,Jingu yupo ndani akiendelea kusota kutokana na kesi hii.Ni kesi inayotambulika kama ya "Uhujumu Uchumi" ambayo haina dhamana.Kukamatwa kwa Jingu kulitokana na nafasi yake kama "Manager Security" ambaye inaonekana (sababu mahakama haijathibitisha) alishiriki kufanikisha mzigo huo kupita bila kizuizi.

Huwezi kupita na mzigo wa kilo 262 wa meno ya tembo bila kuonekana kwa macho wala kwa mashine.Ni lazima uwe na mtandao wa maana utakaorambishwa "asali".Mtandao huu wa kuramba "asali" hauishii kwa "security officers" wanaokagua mizigo magetini tu,ni lazima ufike mpaka kwa "boss".Na pengine swali lilikuwa,"mzigo mkubwa kama huu unaweza kupita bila Manager Security kujua?"

Leo Dr Mwakyembe,wakili,Waziri na Mbunge,bila kujali usiri wa taarifa za mtoa taarifa kaamua kututajia hadharani mtu aliyekuwa anamsaidia kwa 99%.Tena kwa kumtaja ktk chombo cha habari.Lakini sidhani kama amejiridhisha kuwa kuwekwa ndani kwa "mtoa taarifa" wake ni kweli kwa sbb ya vita ya madawa ya kulevya?

Na hata kama ni hivyo,Je Dr hana namna ya kisheria iwe kwa kumuwekea mawakili au msaada wowote wa kisheria kuhakikisha "kijana" wake anatoka!?Na ana uhakika kuwekwa ndani kwa Jingu ni sbb ya "uadui wa kutoa ushirikiano wa 99%?".

Zaidi ya hapo,Dr ametuonyesha kuwa hana "kifua",inawezakana huyo "kijana" wake alikuwa anampa habari hizo sbb ni Waziri na bosi wake,sasa inakuwaje leo aamue kutaja chanzo chake cha habari kwa jina na mahali alipo?Alipoamua kumtaja Jingu hadharani,alitupa nafasi ya kudadisi;huyo Jingu "kijana" wa Mwakyembe ni nani?

Leo Masogange na washirika wake na wote waliokamatwa enzi za Mwakyembe kupitia uwanja wa JNIA,wanajua Jingu ndio aliowachoma.Hali hii ya kukosa "kifua" cha kutunza siri unazopewa ktk uwajibikaji,haiwezi kuwakatisha tamaa maafisa wengine wa JNIA katika vita hivi vya sasa?

Maana kwa kauli hii ya Dr,ni wazi kuwa hata maafisa wengine wa usalama JNIA wanaweza kuogopa kutoa taarifa kwa kuhofia siku moja huko mbele ya safari mtu atakuja kutaja chanzo chake cha habari.

Wakati tukimkumbusha Dr Mwakyembe,wakili,mbunge na waziri kufuatilia kwa kina kukaa mahabusu kwa "kijana" wake Jingu kulisababishwa na nini haswaa,pia tumkumbushe kuwa awe na tabia ya kuwa na "kifua".Kifua cha kiume hutunza siri,kifua cha kiume hakiropoki,kifua cha kiume huundwa na mifupa imara ya kustahimili kuhifadhi hata maneno ya kimbea.

Ndio maana,ni nadra sana kukuta wanaume wanasutana kwa maneno ya uwongo na umbea,sababu jadi ya wanaume wa kiafrika ni kukaaa na kufunika siri za jamii na za familia katika kifua.Dr Mwakyembe,zaidi ya udaktari wake,uanazuoni,ubunge na uwaziri;Yeye ni MWANAUME wa kiafrika.
Dr Mwakyembe kwa taaluma yake tu hasingesema hayo kwani Kesi inayomhusu Jingu iko Mahakamani! Anaivuruga. Lakini pia huyu Jingu wakati huo wa Masogange alikuwa Meneja wa Usalama kiwanjai hapo, sasa aliwajibika 'kumsaidia' Mwakuyembea kama Waziri wa mhusika wakati huo. Na je Waziri wakati huo hakujiridhisha pia kuwa pengine Jingu alikuwa shemu ya kuwaruhusu akina Masogange kupita. Nafikiri Kamisheni itayarekebisha haya ili kupambana vyema na Madawa ya kulevya. Vita hii ikifanywa kwa kuruhusu kila mtu kusema na kujisifu anavyopamabana itabadilika kuvurugika.
 
View attachment 472029
View attachment 472030

Juzi kati Waziri wa Katiba na Sheria Dr.Mwakyembe alisikika kupitia kipindi kimoja cha "East Africa Tv/Radio" akilalamika jinsi alivyomshindwa Masogange katika vita vya madawa ya kulevya.Dr Mwakyembe anasema hata baada ya ushahidi wote kuonyesha kuwa "mzigo" ulipitishwa hapa Dsm kuelekea J'burg,lakini bado Masogange alimponyoka.

Anasema,baada ya muda,alihamishwa ktk Wizara hiyo na kupelekwa sehemu nyingine,kitu kilichomfanya ashindwe kuendeleza harakati za vita hiyo.Sisi tutamuamini Dr kwa yale anayoyasema,wengi wanaomfahamu wanasita kumuamini.

Lakini haya yote,hayaondoi ukweli kuwa,Dr Mwakyembe,daktari wa sheria,mwanazuoni,wakili,Waziri na Mbunge wa Jimbo la Kyela,alielemewa na Masogange mpaka akawa anamletea "nyodo".

Mjadala mkubwa aliouibua Dr Mwakyembe,ni huyo "kijana" wake aliyekuwa "anamsaidia" katika vita hivi,bahati nzuri au mbaya,licha ya kusema "kijana" wake anatakiwa alindwe huko gerezani,bado Dr aliamua kumtaja kwa jina moja la JINGU,hivyo aliotoa mwanya wa kudadisi;Huyo "kijana wake Jingu ni nani haswa?"

Dr Mwakyembe hajasema huyo "kijana" wake alifungwa kwa kosa gani hasa,yeye kama mwanasheria na waziri,ametumia njia gani za kisheria kuhakikisha huyo "kijana" wake anatoka huko gerezani?Na je Mwakyembe ana uhakika kuwa huyo "kijana" wake aliomsaidia kwa 99% ni kweli yupo huko gerezani kwa "kubambikiwa" au ni stahili yake.

Na je,kukamatwa kwake huyo "kijana" kuna uhusiano wowote na "msaada" kwa Dr Mwakyembe?Au kukamatwa kwake "kunahusishwa" tu,lakini kuna jambo lingine tofauti na "msaada" huo kwa Dr?

Clemence Jingu Mbaruck (bila shaka ndio huyu "kijana" wa Dr Mwakyembe) alikuwa Meneja wa Usalama (Manager Security) wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania.Alihudumu kwa nafasi andamizi kabla ya cheo hicho katika kitengo cha Usalama katika uwanja wa Julius Nyerere kwa muda mrefu.

Kwa maelezo ya Kamishna Rogers Sianga,moja ya mbinu kubwa ya "drug lords" ni ku-recruit watu ktk kila kitengo wanachopita ili iwe rahisi kwao kupitisha mizigo yao,kitengo cha usalama ktk viwanja vya ndege,ni moja ya "waajiliwa" wa mitandao hii.Hivyo hawa huwa na "details" za lini,saa ngapi,nani,na ndege gani itapitisha mzigo kuingia au kutoka nje ya nchi.

July 2015,mzigo wa kilo 262 wa pembe za ndovu ambao ni sawa na tembo 50 ulikamatwa katika uwanja wa ndege wa Zurich Uswis,ukiwa umetoka Dsm kuelekea China.

Mzigo huo ulikamatwa ukiwa ndani ya begi za raia wa China.Begi hizo zilipita bila kuonekana Tanzania, iwe kwa macho au kwa "Screening machine".
Soma Nyara za Serikali zawafikisha kizimbani Maafisa 4 wa TAA

Watuhumiwa wanne ambao ni wafanyakazi wa Kitengo cha Usalama wakiwemo wanajeshi watatu wa JWTZ (ambao huwa wapo attached ktk kitengo cha usalama wa kiwanja) na Manager Security Jingu walitiwa kizuizini kwa tuhuma za kuhisika kufanikisha mzigo huo kupita bila kukamatwa.

Clemence Jingu (kijana wa Mwakyembe) na wenzake waliwekwa mahabusu kwa tuhuma ya Uhujumu uchumi,na kesi yao kusomwa mahakama ya Kisutu na baadae kurudishwa rumande sbb kesi hii haina dhamana.

Mpaka leo,Jingu yupo ndani akiendelea kusota kutokana na kesi hii.Ni kesi inayotambulika kama ya "Uhujumu Uchumi" ambayo haina dhamana.Kukamatwa kwa Jingu kulitokana na nafasi yake kama "Manager Security" ambaye inaonekana (sababu mahakama haijathibitisha) alishiriki kufanikisha mzigo huo kupita bila kizuizi.

Huwezi kupita na mzigo wa kilo 262 wa meno ya tembo bila kuonekana kwa macho wala kwa mashine.Ni lazima uwe na mtandao wa maana utakaorambishwa "asali".Mtandao huu wa kuramba "asali" hauishii kwa "security officers" wanaokagua mizigo magetini tu,ni lazima ufike mpaka kwa "boss".Na pengine swali lilikuwa,"mzigo mkubwa kama huu unaweza kupita bila Manager Security kujua?"

Leo Dr Mwakyembe,wakili,Waziri na Mbunge,bila kujali usiri wa taarifa za mtoa taarifa kaamua kututajia hadharani mtu aliyekuwa anamsaidia kwa 99%.Tena kwa kumtaja ktk chombo cha habari.Lakini sidhani kama amejiridhisha kuwa kuwekwa ndani kwa "mtoa taarifa" wake ni kweli kwa sbb ya vita ya madawa ya kulevya?

Na hata kama ni hivyo,Je Dr hana namna ya kisheria iwe kwa kumuwekea mawakili au msaada wowote wa kisheria kuhakikisha "kijana" wake anatoka!?Na ana uhakika kuwekwa ndani kwa Jingu ni sbb ya "uadui wa kutoa ushirikiano wa 99%?".

Zaidi ya hapo,Dr ametuonyesha kuwa hana "kifua",inawezakana huyo "kijana" wake alikuwa anampa habari hizo sbb ni Waziri na bosi wake,sasa inakuwaje leo aamue kutaja chanzo chake cha habari kwa jina na mahali alipo?Alipoamua kumtaja Jingu hadharani,alitupa nafasi ya kudadisi;huyo Jingu "kijana" wa Mwakyembe ni nani?

Leo Masogange na washirika wake na wote waliokamatwa enzi za Mwakyembe kupitia uwanja wa JNIA,wanajua Jingu ndio aliowachoma.Hali hii ya kukosa "kifua" cha kutunza siri unazopewa ktk uwajibikaji,haiwezi kuwakatisha tamaa maafisa wengine wa JNIA katika vita hivi vya sasa?

Maana kwa kauli hii ya Dr,ni wazi kuwa hata maafisa wengine wa usalama JNIA wanaweza kuogopa kutoa taarifa kwa kuhofia siku moja huko mbele ya safari mtu atakuja kutaja chanzo chake cha habari.

Wakati tukimkumbusha Dr Mwakyembe,wakili,mbunge na waziri kufuatilia kwa kina kukaa mahabusu kwa "kijana" wake Jingu kulisababishwa na nini haswaa,pia tumkumbushe kuwa awe na tabia ya kuwa na "kifua".Kifua cha kiume hutunza siri,kifua cha kiume hakiropoki,kifua cha kiume huundwa na mifupa imara ya kustahimili kuhifadhi hata maneno ya kimbea.

Ndio maana,ni nadra sana kukuta wanaume wanasutana kwa maneno ya uwongo na umbea,sababu jadi ya wanaume wa kiafrika ni kukaaa na kufunika siri za jamii na za familia katika kifua.Dr Mwakyembe,zaidi ya udaktari wake,uanazuoni,ubunge na uwaziri;Yeye ni MWANAUME wa kiafrika.
Barafu,
Ukiona kiongozi wa serikali anaripuka kwa mtindo wa Mwakyembe, hiyo ni mbinu nzuri sana ya kuonyesha umma kwamba yeye ni msafi. Lakini, amini kwamba siyo hivyo, hapo anatafuta kinga ya kufikiwa. Viongozi wetu wamekuwa wakishindana kuiba, kufanya mapenzi na malaya hawa wa magazetini, mihadarati, pembe za ndovu, nk.

huko kushindwa alikoonyeshwa, n i ishara kwamba lazima kuna mwenzake aliyemzidi ujanja, akamuwahi. Ndivyo serikali yetu ilivyokuwa inaendeshwa, huku watu wakisema tunaendelea kuwa na maisha bora.
 
Hiii! Nchi ukiichunguza vizuri utagundua viongozi tuliowapa madakara asilimia kubwa ni wachumia tumbo siajabu hayo meno ya tembo waziri alikuwa anahusikanayo kwanini anamtetea mtuhumiwa yani imekuwa mwaga mboga mi ni mwage ugali
 
Huyu Masogange alipona-ponaje huko Afrika kusini? huwa sipati jibu, maana alidakwa na maofisa wa uwanja wa ndege akiwa na mzigo, Mkuu Barafu, naomba unipe jibu, huyu masogange aliponaje jela ya afrika kusini?
 
Back
Top Bottom