Famous Actors who didn't go to Acting school...Tz waigizaji wengi Std 7 na fm4 failure hafu tutegemee wataigiza kama waturuki, au wakorea au waphilipino, nazani Sana'a ya Tz haitakuja kukuwa.
MaigizoUyu jamaa amr dead kweli au ka dead ki maigizo?
Nadhani himaya ya Ottoman ilianza kuyumba baada ya kifo ya Ibrahim Pasta.Bila uyu jamaa tamthilia itanoga kweliView attachment 962626
Jamaa alikua anatumia akili kweli kwenye mipango yakeNadhani himaya ya Ottoman ilianza kuyumba baada ya kifo ya Ibrahim Pasta.
Yeye alikua busy anajenga nchi wabaya wake wako busy wanapanga kummaliza.Jamaa alikua anatumia akili kweli kwenye mipango yake
Km magufuli wetuYeye alikua busy anajenga nchi wabaya wake wako busy wanapanga kummaliza.