ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Ili mradi walindwe. ..Hiyo picha ni fotoshop, ama ni ya maktaba kutoka maeneo mengine katika Afrika.
Hakuna hapa Tz jeshi la taifa kulinda kitu kiitwacho faru. Kazi hiyo hufanywa na askari wa wanyama pori na sikuhizi wanapewa mafunzo maalumu ya kijeshi-usu(para military).
Huyo askari alivyokaakaa ni kama askari wa Kenya kutokana na mavazi aliyovaa pamoja na aina ya bunduki aliyoshikilia mikononi mwake.