Hapo mwisho pamenitisha hapo pa gharama na hatuaView attachment 465022
FARU FAUSTA WA NGORONGORO ATIMIZA MIAKA 54
Ndio faru mzee duniani,sasa haoni
.Ngorongoro yampa ulinzi wa kijeshi
FARU Fausta ndio anayesadikiwa kuwa na umri mkubwa kuliko Faru wote duniani,mwaka huu amefikisha umri wa miaka 54.
Faru Fausta yupo katika mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro,lakini kutokana na uzee wake huo,sasa anakabiliwa na tatizo la macho la kutoona.
Kufuatia hatua hiyo,uongozi wa Ngorongoro sasa umemuweka katika makazi maalum ndani ya hifadhi hiyo.
Hatua ya mamlaka kuchukua hatua ya kumpa ulinzi maalum Faru Fausta inahofia kushambuliwa na wanyama wengine wakali na hususani fisi na Simba.
Hivi sasa gharama inayotumika kumlinda Faru Fausta ni kubwa,hivyo uongozi wa Mamlaka umeishauri wizara kuchukua
hatua juu ya Faru Fausta
Una maanisha Faru Pombe
Agnes pembe zake ziko kwa nyumaYule Agnes Masogange???
Sasa hiyo dm tunapika data uhusiano kati ya Faru John na Fausta tushishangae kuambiwa walifunga ndoaBado wanakula per dm
Me nasubiria majibu ya kuadikikaSasa hiyo dm tunapika data uhusiano kati ya Faru John na Fausta tushishangae kuambiwa walifunga ndoa
Aisee.Sijamuona Mda mrefu sana.Huwa Anajilikana kutokana na Pembe yake kubwa ya Mbele kukatika kidogo kwa juu.
Namkumbuka Mama yake Alikuwa Anaitwa Agness.
mpe heshima yake teh ni "faru Agness"Aisee.Sijamuona Mda mrefu sana.Huwa Anajilikana kutokana na Pembe yake kubwa ya Mbele kukatika kidogo kwa juu.
Namkumbuka Mama yake Alikuwa Anaitwa Agness.
Kwani kupandwa lazimaAnapandwa saa ngap sasa maana muda wote jamaa wameshika mjegejo wanamlinda
Sasa jangili atamuua huyo Fausta ili apate nini wakati hata pembe zimebaki kama gunzi?Majangiri sio nature mkuu
Mkuu majangili huwa wanaua faru wasiokuwa na pembe pia kwa sababu wanachukua muda mrefu kumfuatilia faru halaf wanakuta hana pembe wanamuua ili wasije wakapoteza muda kumfuatilia tena siku nyingineSasa jangili atamuua huyo Fausta ili apate nini wakati hata pembe zimebaki kama gunzi?
Una ushahidi? Unafikiri majangili wana bahatisha ama kukurupuka? Wana network kubwa mno hadi game rangers, maofisa wa wizara, idara ya wanyamapori, hifadhi na mapori ya akiba. Wanafahamu nini wanakifanya.Mkuu majangili huwa wanaua faru wasiokuwa na pembe pia kwa sababu wanachukua muda mrefu kumfuatilia faru halaf wanakuta hana pembe wanamuua ili wasije wakapoteza muda kumfuatilia tena siku nyingine
Uliyajuaje hayo yote??Mkuu majangili huwa wanaua faru wasiokuwa na pembe pia kwa sababu wanachukua muda mrefu kumfuatilia faru halaf wanakuta hana pembe wanamuua ili wasije wakapoteza muda kumfuatilia tena siku nyingine