TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,392
- 10,855
Kuna kaka mmoja tuko wote ofisi moja ila mimi niko field,yeye ni mfanyakazi.Kwa mara ya kwanza nilipomwona nilimpenda ila siku zilivyozidi kwenda mapenzi juu yake yanapungua.Tatizo ni kwamba nimegundua kwamba huyu jamaa ni mbahili halafu anawivu kupindukia.Wenzie huenda lunch lakini yeye huagiza aletewe hapohapo ofisini halafu chakula chenyewe ni wali mbogamboga chakula ambacho ni cha bei ya chini kabisa tofauti na wenzie,mfano siku moja alinikuta nakoroga chai akaniuliza eti kwa nini natumia maziwa mengi wakati hanunui yeye.
Kingine kinachonikera ni kwamba huwa ananifuatilia sana nyendo zangu,mwanaume yeyote akinisemesha lazima aniulize tulikuwa tunaongea nini hata kama ni issue za kiofisi anataka kujua,kwa kweli ananiudhi kupita maelezo ila namheshimu kwa vile ni mtu mzima.Kichekesho zaidi kafanya juu chini hadi akapata namba yangu ya simu na kwa sasa ameanza kunitumia sms za mapenzi.
Kwa kweli mapenzi juu yake yameisha kwani naona hata nikiwa nae atanitesa kwani ikifika lunch time anajinunulia yeye msosi anakula mbele yangu bila hata karibu ya uongo tena haongei akishamaliza ndo anaanza kunisemesha tena sio kuuliza vipi mwenzangu mbona huendi lunch?Kazi yake ni kuniuliza kuhusu familia yangu eti tuko wangapi na je wazazi wanafanyakazi au la?Sa nyingine huniuliza kama nimejenga au nimepanga,jamani huyu ni mwanaume wa aina gani jamani nisaidieni.Mwenzenu niko njia panda manake nahisi huku tuendako kuna dalili za kugombana nae kama ataendelea kunifuatilia coz i already regard him as a careless and selfish one.
Kingine kinachonikera ni kwamba huwa ananifuatilia sana nyendo zangu,mwanaume yeyote akinisemesha lazima aniulize tulikuwa tunaongea nini hata kama ni issue za kiofisi anataka kujua,kwa kweli ananiudhi kupita maelezo ila namheshimu kwa vile ni mtu mzima.Kichekesho zaidi kafanya juu chini hadi akapata namba yangu ya simu na kwa sasa ameanza kunitumia sms za mapenzi.
Kwa kweli mapenzi juu yake yameisha kwani naona hata nikiwa nae atanitesa kwani ikifika lunch time anajinunulia yeye msosi anakula mbele yangu bila hata karibu ya uongo tena haongei akishamaliza ndo anaanza kunisemesha tena sio kuuliza vipi mwenzangu mbona huendi lunch?Kazi yake ni kuniuliza kuhusu familia yangu eti tuko wangapi na je wazazi wanafanyakazi au la?Sa nyingine huniuliza kama nimejenga au nimepanga,jamani huyu ni mwanaume wa aina gani jamani nisaidieni.Mwenzenu niko njia panda manake nahisi huku tuendako kuna dalili za kugombana nae kama ataendelea kunifuatilia coz i already regard him as a careless and selfish one.