Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Nimeshuhudia ziara yake akiwa huko kata ya Sirari na kata zingine ndani ya jimbo la Tarime Vijijini, inatia huruma kwa Waziri kufanya haya.
Hotuba ina dakika (60) yaani saa moja.
-Anatumia dakika (10) kuelezea kwanini ametoka CHADEMA kwenda CCM.
- Anatumia dakika (20) kumtukana na kumkashifu Mbunge wa Tarime Vijijini mhe. John Heche pamoja na madiwani wa CHADEMA.
-Anatumia dakika (10) kukiponda chama cha CHADEMA na viongozi wake Kitaifa
- Anatumia dakika (15) kumsifia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe. John Pombe Magufuli
- Anatumia dakika (5) kuwaomba wananchi wachangie ujenzi wa shule (kwa harambee) na mwisho anachanga shilingi laki tano.
Hii ni ziara ya kisiasa wala siyo ziara ya serikali. Serikali inatumia kodi za Wananchi ndivyo sivyo, yaani Waziri anazunguka majimboni kutukana wapinzani na kukejeli vyama vya upinzani.
This is bad!!!
Nchi hii inaudhi isivyo kawaida!!
Hotuba ina dakika (60) yaani saa moja.
-Anatumia dakika (10) kuelezea kwanini ametoka CHADEMA kwenda CCM.
- Anatumia dakika (20) kumtukana na kumkashifu Mbunge wa Tarime Vijijini mhe. John Heche pamoja na madiwani wa CHADEMA.
-Anatumia dakika (10) kukiponda chama cha CHADEMA na viongozi wake Kitaifa
- Anatumia dakika (15) kumsifia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe. John Pombe Magufuli
- Anatumia dakika (5) kuwaomba wananchi wachangie ujenzi wa shule (kwa harambee) na mwisho anachanga shilingi laki tano.
Hii ni ziara ya kisiasa wala siyo ziara ya serikali. Serikali inatumia kodi za Wananchi ndivyo sivyo, yaani Waziri anazunguka majimboni kutukana wapinzani na kukejeli vyama vya upinzani.
This is bad!!!
Nchi hii inaudhi isivyo kawaida!!