Huyu mzungu kanishangaza

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,338
12,370
Habari wakuu,kuna mzungu ambae kanipigia kutoka kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonishangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?
 
kuna hr mzungu kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.
kilichonushangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?
kyagata HAKUNA UBAYA KATIKA HILO, HYO NI HATUA YA MWANZO KWA YEYE KUTAMBUA MHUSIKA KAMA NI BINADAMU AU LA, NA PIA KAMA ULIWEZA JIELEZA KWA UFUPI INAMTOSHA YEYE KUFANYA HIYO SHORTLIST KWA KUZINGATIA ALICHOJIFUNZA TOKA KWAKO...WENGI WAO HUWA HAWAFANYI BALI WANASAMPLE TU!
 
Usimfikirie huyo mzungu vibaya! Nina uhakika siyo wewe pekee uliyepigiwa simu.Mzungu kawapigia simu baadhi ya waliotuma maombi.Ina maana yake kama alivyoeleza mdau mmoja hapo juu.(ie shortlisting)
 
kuna habari mzungu kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonushangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?

Asingekujibu ungelalama, kakujibu unalalama

Jijengee positivity kwenye maisha yako na utaona results

Negativity in ushamba
 
kuna habari mzungu kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonushangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?
huyo sio mzungu halisi wa kampuni hiyo ni mzungu feki. anataka upeleke hela na mtakutana eneo lingine kabisa na kijana wake, mwisho wa siku utasubiri ajira hadi miaka ishirini na ukienda ofisini hautamkuta na watakuwa hawamjui. beware.
 
Mkuu bila shaka hiyo ndo interview ya kwanza kuitwa ndo maana

All the best.......usisahau kugoogle namna ya kujiandaa na interview
 
We unafikira mbaya, huyu kakuweka standby ili kama una kimeo cha simu uazime betri kanisa wiki Hiyo upatikane na si vinginevyo kama unavodhani na wala usifikiri mzungu anakutaka ku mapenzi labda kama unamtaka wewe ndo maana umeleta uzi tukusapoti Noo sisi tupo positive
 
me nimezoea kupigiwa na kuambiwa tarehe ya kupiga interview.
Zingatia ushauri wa mdau anaitwa Hute hapo juu. Nilikua Mbeya kuna matapeli walijaribu kumuingiza mkenge rafiki yangu kwa kutumia lafudhi za kikenya na kizungu.
Kua macho mkuu.
 
Zingatia ushauri wa mdau anaitwa Hute hapo juu. Nilikua Mbeya kuna matapeli walijaribu kumuingiza mkenge rafiki yangu kwa kutumia lafudhi za kikenya na kizungu.
Kua macho mkuu.
poa mkuu
 
habari wakuu,kuna mzungu ambae kanipigia kutoka kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonishangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?
Usijali, mala nyingi unamjulisha mtu anayefaa ili asije chukua kazi nyingine kabla yako - ninyi job seekers mnatega mitego mingi sana.

Be happy, usilalamike
 
Habari wakuu,kuna mzungu ambae kanipigia kutoka kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonishangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?
ni kawaida sana katika kutafuta kazi karibu abord kuna vibweka zaidi ya hivo
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom