FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,373 Jan 21, 2010 #2 eeeeh jamani jamani huyo kajitoa network si bure
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,373 Jan 21, 2010 #3 hizi picha mbona haziingii akilini kabisa ?
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Jan 21, 2010 Thread starter #4 FirstLady1 said: hizi picha mbona haziingii akilini kabisa ? Click to expand... unamaanisha ni photoshop?
FirstLady1 said: hizi picha mbona haziingii akilini kabisa ? Click to expand... unamaanisha ni photoshop?
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Jan 21, 2010 Thread starter #6 Laligeni said: Ah!! Hiyo mbona hata mimi naweza?? Click to expand... yalaaaaaa....
Kibunango Platinum Member Aug 29, 2006 8,419 2,270 Jan 21, 2010 #7 Jamaa huyo yupo South Africa.... na hiyo ni sehemu ya maisha yake ya kila siku...
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,299 33,080 Jan 21, 2010 #8 FirstLady1 said: hizi picha mbona haziingii akilini kabisa ? Click to expand... Nakuunga mkono hizi picha zitakuwa ni photoshop Duhhhhhhhhhhhhhhh yallllllllllllllllllah
FirstLady1 said: hizi picha mbona haziingii akilini kabisa ? Click to expand... Nakuunga mkono hizi picha zitakuwa ni photoshop Duhhhhhhhhhhhhhhh yallllllllllllllllllah
B Bontowar JF-Expert Member Feb 21, 2009 520 52 Jan 22, 2010 #10 Dreamliner said: Atakuwa hana harufu ya binadamu!! Click to expand... kwa hiyo yeye ni mnyama nini
B Bontowar JF-Expert Member Feb 21, 2009 520 52 Jan 22, 2010 #12 kha!!!!!!!!!! simba kumbe ni mkuba saana kwa umbo duh!
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Jan 22, 2010 Thread starter #13 Kibunango said: Jamaa huyo yupo South Africa.... na hiyo ni sehemu ya maisha yake ya kila siku... Click to expand... waambie hao maana wanadhani ni photoshop! ila huyu jamaa hapo hakosi chamoto kwani siku hao wakicharuka atapiga viwili hewani na wanatimua mbio!
Kibunango said: Jamaa huyo yupo South Africa.... na hiyo ni sehemu ya maisha yake ya kila siku... Click to expand... waambie hao maana wanadhani ni photoshop! ila huyu jamaa hapo hakosi chamoto kwani siku hao wakicharuka atapiga viwili hewani na wanatimua mbio!
Mchaga JF-Expert Member Apr 11, 2008 1,378 204 Jan 26, 2010 #14 MziziMkavu said: Nakuunga mkono hizi picha zitakuwa ni photoshop Duhhhhhhhhhhhhhhh yallllllllllllllllllah Click to expand... si kila jambo ni hivyo mkuu
MziziMkavu said: Nakuunga mkono hizi picha zitakuwa ni photoshop Duhhhhhhhhhhhhhhh yallllllllllllllllllah Click to expand... si kila jambo ni hivyo mkuu
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,627 154,992 Jan 26, 2010 #16 Da... Mkiambiwa wazungu wachawi mnabisha.. Mnabisha nini wakati macho yenu wenyewe ndiyo yanayoona.?
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Jan 26, 2010 #18 Hao wanyama wamefundishwa jinsi ya kuwa wapole