Huyu mzee simpendi mpaka kesho kutwa aisee ukijua yaliyokuwa yanafanyika chini yake Inaumiza sana lakini kwa sababu tumeambiwa kusamehe acha ajipumzikie zake.Namuona Mzee wa Msoga juzi akiwapunguzia wenzake majonzi kwenye msiba wa Mzee Pinda, naona kila aliyekuwa karibu alishindwa kuzuia tabasabu. Sijui huwa anawaambia nini wazee wenzake mpaka kuwafanya wakenue namna hii. Ni kipaji au ? View attachment 441623 View attachment 441624 View attachment 441625 View attachment 441626
Kinana nywele zenyewe ziko kisogoni kabisa. Kwa hiyo akinyoa atazitoa tu zote na itakuwa kipara
Ika watu wanao futahi na kucheka mxa wote sio wazuri, maana hujui mda gani kakasirika
Acha mambo yako, umpende kwani umekuwa mke wake? Unaudhi kweli kujifanya unaijua nchi sana kumbe bure tu!Huyu mzee simpendi mpaka kesho kutwa aisee ukijua yaliyokuwa yanafanyika chini yake Inaumiza sana lakini kwa sababu tumeambiwa kusamehe acha ajipumzikie zake.
DuhJk hivi Pinda ukiangalia hali ya
Sasa hivi na kipindi chetu unaichukuliaje?
Pinda haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yani jk kama ulijua kulileta hili
Tingatinga pamoja na Majaliwa
Wanafiki tumewajua
Kwa pamoja haaaaaaaaaaaaaaa Na bado mpaka wakome