Habari wana JF
Kilichonileta hapa asubuhi yote hii ni kuhusu huyu mwanamke kwa sababu mimi hata simuelewi
mimi niko kwenye mahusiano na wanawake 4 tofauti samahani kama nitakua nimekuudhi kwa hili kwa sababu sina namna imenibidi niwe nao tuu.
Sasa kuna huyu mmoja yaani simuelewi hata kidogo akituma text usipojibu kwa wakati analeta shidaa ananitukana sana mimi wala simjibu badae anakuja kunipigia cm kuniomba radhi amekosea namsamehe.Ila nikimuomba tuu game wala habishi anakubali mara moja kwa hili hana usumbufu kabisaa sasa juzi kanitukana sana nikamkaushia sijamjibu text hata moja kapiga cm sijapkea katumia namba ya marafiki zake sijapokea nikamtumia text nikamuambia "from today i dont need you in my life we breakup".Baada ya kuisoma hyoo text kaipiga cm sana sijapokea siku mbili sipokei Cm zake na wala sijibu text.
Wakuu eti anadai ananipenda sana hivi kweli mwanamke anayekupenda anaweza kukutukana matusi mazito? mpaka now sijapokea cm zake wala kumjibu text zake coz nimemchokaa. je ananipendaa?? na mbona wenzake hawapo kama yeye??
Kilichonileta hapa asubuhi yote hii ni kuhusu huyu mwanamke kwa sababu mimi hata simuelewi
mimi niko kwenye mahusiano na wanawake 4 tofauti samahani kama nitakua nimekuudhi kwa hili kwa sababu sina namna imenibidi niwe nao tuu.
Sasa kuna huyu mmoja yaani simuelewi hata kidogo akituma text usipojibu kwa wakati analeta shidaa ananitukana sana mimi wala simjibu badae anakuja kunipigia cm kuniomba radhi amekosea namsamehe.Ila nikimuomba tuu game wala habishi anakubali mara moja kwa hili hana usumbufu kabisaa sasa juzi kanitukana sana nikamkaushia sijamjibu text hata moja kapiga cm sijapkea katumia namba ya marafiki zake sijapokea nikamtumia text nikamuambia "from today i dont need you in my life we breakup".Baada ya kuisoma hyoo text kaipiga cm sana sijapokea siku mbili sipokei Cm zake na wala sijibu text.
Wakuu eti anadai ananipenda sana hivi kweli mwanamke anayekupenda anaweza kukutukana matusi mazito? mpaka now sijapokea cm zake wala kumjibu text zake coz nimemchokaa. je ananipendaa?? na mbona wenzake hawapo kama yeye??