Pascally kaanza kutembea na fursa baada ya kujipendekeza kwa magu akapotezewa sasa anatupa turufu yake kwa mama Samia.Sijamuelewa kabisa huyu mwandishi nguli ana maana gani? Yaani enzi za hayati magufuli kulikuwa hakuna weledi? Alikuwa anafanya kazi kwa kuangalia watu?View attachment 1741287View attachment 1741288
Hii ndio bongo sasa,yenye wanafiki wabobeziSijamuelewa kabisa huyu mwandishi nguli ana maana gani? Yaani enzi za hayati magufuli kulikuwa hakuna weledi? Alikuwa anafanya kazi kwa kuangalia watu?View attachment 1741287View attachment 1741288
Kwa hiyo we hapo unaona umetumia akili??Tumia akili we mbwiga.
🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaaaa...... Binadamu siyo wa kuwaamini kabisa bora umuamimi paka!
🤣🤣🤣Mnhhh..... Ameanza!???