Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,943
- 156,095
- Thread starter
- #41
Mwambie aendelee kuvumilia atapewa tuzo ya Mke mwema shenzi kabixaa. Elimu yake imemsaidia nini Sasa? Nilidhani kafungiwa jela yaan mwanaume anaondoka anakukuta upo tu, jaman elimu sio kupata A darasani elimu inakusaidia kupanua thinking capacity, sasa kama 'na hapo tu hajiongez nawasiwasi na thinking capacity yake, hapo mwili unaharibiwa kwa kupewa makovu nk anataka azinduke lini Sasa akiwa kaburini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani anajifeel inferior kitendo cha kusomeshwa labda..
Na mdada ni mpoleee very decent one afu mzuri sasa