Huyu mwanaume ananichanganya sana

huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenz tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumban japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafaham mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akil ya kujiongeza....Mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwez naweza pata faida kama ya lak 4 ....mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hv....
Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki.....Mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani..
Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote...
Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu....
Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha...napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumiz ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs..
Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote
Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia......bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Daaah pole sana ...upo Dar? ?
 
Swali la utangulizi:

Naomba niulize hivi kuna wanawake wakikaa na kuishi bila kutumia pesa ya mwanaume kwao maisha hayaendi?

Mchango:
Anakulalia ni vibaya kama anakula hadi kwako ila kusex na wewe sio guarrantee ya kulipwa labda kama unamuuzia.
 
huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenz tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumban japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafaham mtoto wao anamchumba japo hawajaniona

Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akil ya kujiongeza....Mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwez naweza pata faida kama ya lak 4 ....mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hv....
Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki.....Mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani..
Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote...
Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu....
Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha...napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumiz ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs..
Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote
Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia......bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu

Pole sana. Subiri uzalishwe mtoto wa pili na kuachwa ndipo akili yako itakaa sawa sawa.
 
Gold digger wa kiume huyo!
Hakuna uwezekano wa kurudiana na baba wa mtoto wako?huyu mchumba wa sasa umemzidi umri?

Ila kwa upande mwingine nakushauri kama unaweza uwe unamuomba ukihitaji..kuna watu ambao hawawezi kujiongeza,hawatoi bila kuombwa
 
Kama unaweza kujihudumia kwanini utake pesa ya kupewa? Sidhani kama anakula chakula cha gharama kubwa kiasi kwamba anakutia hasara. Kama kweli wampenda endelea naye ukiwa umeshajipanga kisaikolojia kwamba unapaswa kuendelea kujihudumia na si kuhudumiwa na huyo mchumba wako.

Ukiona vyema mpe hiyo sh.40,000/= ila siyo lazima maana ni pesa yako na una hiari ya kumpa au kumnyima.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom