Timm Wu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 505
- 1,360
Sasa siyo kila mti unafaa kujengea, unaweza kukata mbao za mpapai?Daaah penye miti hapana wajenzi
Sasa siyo kila mti unafaa kujengea, unaweza kukata mbao za mpapai?Daaah penye miti hapana wajenzi
Hii ndio point ya msingiAnza kwenda naye gym
Ushajizoelea wanawake wa buguruni kwa mnyamani huyo ulikosea njia , vijana wengi masikini wa kiafrica mnadhani mahusiano ni ngono tu ! pumbavu sana ! mtu kajitoa hadi kukupa hela ukatoa tongotongo leo mawazo yako yote yako kwa Mwajuma ndala ndefu demu wa vigodoro !Habari wakuu,nimekuwa kwenye haya mahusiano kwa Muda WA miezi minne SASA na huyu mwanamke was kizungu ambaye yulikutana huko ughaibuni na baadae kuja nae nyumbani Tanzania.
Kinachinifanya nisipate hisia nae hasa zaidi no umbo lake nene (bonge). Japo nimejaribu Sana kujilazimisha kunipenda bila mafanikio yeyote.
Kinachonifanya niogope kumwambia hisia zangu juu yake,ni jinsi alivyojitoa kwa ajili yangu, Kwanza kabisaa kunifata Africa na kutumia muda wake kwa ajili yangu.
Kinachoniumiza zaidi ni pale ninapokosa kabisaa hisia nae hasa wakati was kufanya tendo takatifu la ndoa, pia huwa anatamani nimbusu kila mara tukiwa pamoja,ila huwa mara nyingi namkatalia kwa sababu naona kero Sana.
Naombeni msaada wenu was haraka Wana jukwaaa juu ya hili
Achana na njaa wewe. Kashiba anamuona mwenzie bongeHivi wakati unamtogoza hukujua kuwa ni bonge
Wee uoni kama ni kipofu ? angekuwa sio kipofu asingeleta hii mada jukwaa la siasa,
Itakuwa umepungukiwa nguvu za kiume tu!Habari wakuu,nimekuwa kwenye haya mahusiano kwa Muda WA miezi minne SASA na huyu mwanamke was kizungu ambaye yulikutana huko ughaibuni na baadae kuja nae nyumbani Tanzania.
Kinachinifanya nisipate hisia nae hasa zaidi no umbo lake nene (bonge). Japo nimejaribu Sana kujilazimisha kunipenda bila mafanikio yeyote.
Kinachonifanya niogope kumwambia hisia zangu juu yake,ni jinsi alivyojitoa kwa ajili yangu, Kwanza kabisaa kunifata Africa na kutumia muda wake kwa ajili yangu.
Kinachoniumiza zaidi ni pale ninapokosa kabisaa hisia nae hasa wakati was kufanya tendo takatifu la ndoa, pia huwa anatamani nimbusu kila mara tukiwa pamoja,ila huwa mara nyingi namkatalia kwa sababu naona kero Sana.
Naombeni msaada wenu was haraka Wana jukwaaa juu ya hili
Duh Kwan umemwambia afanye mazoezi hupendi mabonge amekataaaHabari wakuu,nimekuwa kwenye haya mahusiano kwa Muda WA miezi minne SASA na huyu mwanamke was kizungu ambaye yulikutana huko ughaibuni na baadae kuja nae nyumbani Tanzania.
Kinachinifanya nisipate hisia nae hasa zaidi no umbo lake nene (bonge). Japo nimejaribu Sana kujilazimisha kunipenda bila mafanikio yeyote.
Kinachonifanya niogope kumwambia hisia zangu juu yake,ni jinsi alivyojitoa kwa ajili yangu, Kwanza kabisaa kunifata Africa na kutumia muda wake kwa ajili yangu.
Kinachoniumiza zaidi ni pale ninapokosa kabisaa hisia nae hasa wakati was kufanya tendo takatifu la ndoa, pia huwa anatamani nimbusu kila mara tukiwa pamoja,ila huwa mara nyingi namkatalia kwa sababu naona kero Sana.
Naombeni msaada wenu was haraka Wana jukwaaa juu ya hili
Ni kweliAchana na njaa wewe. Kashiba anamuona mwenzie bonge
Mimi nina mwaka wa 4 huu nawatafuta mabonge na sijafanikiwa kupataHahahahah kivipi mkuu
Uzinzi unaita tendo takatifu la ndoa.Habari wakuu,nimekuwa kwenye haya mahusiano kwa Muda WA miezi minne SASA na huyu mwanamke was kizungu ambaye yulikutana huko ughaibuni na baadae kuja nae nyumbani Tanzania.
Kinachinifanya nisipate hisia nae hasa zaidi no umbo lake nene (bonge). Japo nimejaribu Sana kujilazimisha kunipenda bila mafanikio yeyote.
Kinachonifanya niogope kumwambia hisia zangu juu yake,ni jinsi alivyojitoa kwa ajili yangu, Kwanza kabisaa kunifata Africa na kutumia muda wake kwa ajili yangu.
Kinachoniumiza zaidi ni pale ninapokosa kabisaa hisia nae hasa wakati was kufanya tendo takatifu la ndoa, pia huwa anatamani nimbusu kila mara tukiwa pamoja,ila huwa mara nyingi namkatalia kwa sababu naona kero Sana.
Naombeni msaada wenu was haraka Wana jukwaaa juu ya hili
I hope ya kwako, kama ipo lakinikama amekulia kwao,wazungu wengi wanapenda honesty and and transparency...mwambie tu muachane atakuelewa,lakini kama ni bonge si ulimkuta hivyo hivyo..??? ...vumilia tu usidhanie ndoa ni mteremko ndugu,wengi ni paa tu ndio linawafichia siri...ila ndoa zimeshakufa kibudu siku nyiingi
HahahahaaaMi nikajua anaiongelea ccm inavyojipendekeza kwa watanzania na hatuitaki!!kumbe yupo serious na mzungu wake kwenye jukwaa la siasa
I hope ya kwako, kama ipo lakini
Itakuwa haijakufa kibudu