Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Hahahaha Nyani Ngabu, sijazisahau comment zako,
Kwenye ile sred moja jamaa alileta hapa "Nani kama Baba vs Nani kama Mama"
Post zako zilinifanya nitafakari mara ya pili kama na mimi nampenda mwanangu kama wewe, niliona kama unanifunika!
Ila kwa hii naona nimetoa droo.........!
Safi sana mazee. Nimekukubali.